Ramthods
JF-Expert Member
- Jun 2, 2009
- 515
- 186
Wadau,
Nipo kwenye mchakato wa kujenga kwa sasa. Nimekwisha paua tayari.
Nimeuliza mafundi, ni nini kinafuata kati ya kupiga paster au ceiling structure (vile vimbao vidogo vidogo vya 2x2 inch kwa ajili ya ceiling), na kila fundi ana mtazamo wake tofauti.
Wengine wanasema unabidi uanze na plaster kwanza, na wengine wanasema ni lazima nianze na ceiling.
Kuna fundi amesema nikianza na ceiling, ntakapokuja kupiga plaster ile structure ya ceiling itakaa imara zaidi.
Nilikua nahitaji kusikia toka kwenye watu wenye uzoefu na hili. Kwa kawaida ni nini kinaanza?
Pia, naomba namba ya fundi wa plaster na floor.
Natanguliza shukrani.
Ram
Nipo kwenye mchakato wa kujenga kwa sasa. Nimekwisha paua tayari.
Nimeuliza mafundi, ni nini kinafuata kati ya kupiga paster au ceiling structure (vile vimbao vidogo vidogo vya 2x2 inch kwa ajili ya ceiling), na kila fundi ana mtazamo wake tofauti.
Wengine wanasema unabidi uanze na plaster kwanza, na wengine wanasema ni lazima nianze na ceiling.
Kuna fundi amesema nikianza na ceiling, ntakapokuja kupiga plaster ile structure ya ceiling itakaa imara zaidi.
Nilikua nahitaji kusikia toka kwenye watu wenye uzoefu na hili. Kwa kawaida ni nini kinaanza?
Pia, naomba namba ya fundi wa plaster na floor.
Natanguliza shukrani.
Ram