Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,205
- 4,695
Kamishna Generali wa Uhamiaji Dkt. Anna Makakala atembelea eneo la Ujenzi na kuomba Mkandarasi SUMA JKT kuongeza kasi ya Ujenzi
Maisha ni magumu nyinyi!.. oneni huyu anavyowaza..😂Daah! Nimezitamani hizo kokoto hapo... Yani nawish kitokee kimbunga kizipeperushe zihamie site kwangu
Mkuu, nina ka site kangu kanahitaji hiyo malighafi by the end of this month ili niendelee kujenga 'mnara wa Babeli'. Hii minara inakula sana cement na kokoto. Just imagine, ili kuweza kupata concrete grade ya M25 unahitaji kijiko kimoja cha cement kiendane na vijiko viwili vya kokoto ihali mchanga ukiwa ni kijiko kimoja.!Maisha ni magumu nyinyi!.. oneni huyu anavyowaza..😂
Safi sana aisee, zitakuja tuDaah! Nimezitamani hizo kokoto hapo. Yani nawish kitokee kimbunga kizipeperushe zihamie site kwangu
Mimi nikajua hizo kokoto zibadilike ziwe elfu kumi kumi alafu zije kwakoDaah! Nimezitamani hizo kokoto hapo. Yani nawish kitokee kimbunga kizipeperushe zihamie site kwangu
Hata zikija elfu kumi kumi nitarudi tena kuzinunulia kokoto.. So bora zije tu kokoto.Mimi nikajua hizo kokoto zibadilike ziwe elfu kumi kumi alafu zije kwako
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Acha iwe tu sasa tutafanyaje?CCM hawana kipigo cha kumpiga mtu akalia, bali wanawizi tu ndio wanaotumia, sasa safari hii mtajamba cheche na mtakunya moto.
Mi pia 😂Daah! Nimezitamani hizo kokoto hapo. Yani nawish kitokee kimbunga kizipeperushe zihamie site kwangu