ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Hyo nyumba Ina design mbayaa!!
Kaka nadhani hii ndo sababu mpaka imepelekea kuonekana cheap, kwa gharama Ni sawa kabisa Ila muonekano wake cheap
Kiukweli designer ndo kawapponza, mengine yote nayakubali, mi nimejenga 100 imeisha Ila nyumba haijaisha. Spanish tiles vyooni tu 3 mil 10