Good morning wana jf. mwenzenu mbona naona kama network zinakata kila nikiangali ule ujenzi unaoendelea pale jangwani. maana navojua eneo lile ni bonde la mto Msimbazi, ambapo pia ni mkondo wa maji kuelekea bahari ya Hindi. sasa leo ukipita pale utaona bonde lile upande wa jangwani limejazwa kifusi. swali langu je mvua zitakapo nyesha maji yatapita wapi? au yatapita juu ya barabara ya morogoro?