my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,017
- 2,384
Huyu dada tokea apate mimba amekua anazurura sana.
Kila siku anapigwa picha na paparazzi yupo sehemu tofauti tofauti.
Hivi huwa anaendaga wapi? Au mimba yake aliipatia akiwa kwenye ziara 🤔
Kwa kweli nimechoka kila siku kumuona yeye tu na ajifungue apumzike na sisi pia tupumzike.
Kila siku kitumbo jujuu kama yeye ndo wa kwanza kupata mimba hapa duniani... ✍️
Kila siku anapigwa picha na paparazzi yupo sehemu tofauti tofauti.
Hivi huwa anaendaga wapi? Au mimba yake aliipatia akiwa kwenye ziara 🤔
Kwa kweli nimechoka kila siku kumuona yeye tu na ajifungue apumzike na sisi pia tupumzike.
Kila siku kitumbo jujuu kama yeye ndo wa kwanza kupata mimba hapa duniani... ✍️