Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Mimi nilikuwa na kibarua cha kumchomea mama matesha mahindi.
Alikuwa ananunua mahindi anayaleta home, ananisubiri nimchomee. Nisipoyachoma mimi hali, na nyumbani palikuwa hapakaliki.
Mimba za kwanza noma asee.
Kwanza Hongera sana DADA PRETTY Umebarikiwa kuwa MAMA YETU! Mungu akubariki na kukupa afya njema hatima ye utuletee ka -UNCLE!
Usiogope wanasema IT COMES WITH THE TERRITORY !
Mama Junior yeye alikuwa akivaa mashati yangu niliyokwisha vaa; yaani nikivua yeye analivaa mpaka kesho ma hata siku yatutu ndo analifua! Nilishangaa lakini nilimwelewa na nikafurahi sana!
Ni RAHA tupu! Wala usijionee aibu!:target::target::target::target: