Pretty
JF-Expert Member
- Mar 19, 2009
- 2,575
- 552
............Mwenzenu Mungu amenishushia baraka za ujauzito, lakini imenivunja nguvu sana. Yaani muda wote naishiwa nguvu na njaa kuuma kila wakati. Kila baada ya nusu saa nahisi njaa kali sana.........hata nikila vp lakini muda mfupi tu njaa.Huu ndio ujauzito wangu wa kwanza basi naogopa huko kula kula nisije kunenepa bure.
..........3 weeks ago nilikuwa hoi, chakula changu kilikuwa ni drip tu, maana nilikuwa nasikia njaa lakini chakula hakiliki hadi ikabidi niwe admitted hospital.Nashukuru nimeshatoka hospital lakini sasa hivi ni njaa kwenda mbele. Nimeanza second trimester sasa lakini bado tu naishiwa nguvu, sijui hata nifanyeje?
Mimba kumbe ni shughuli jamani...........watu tumetolewa mbali kumbe.Na hivi nimenasa huku nipo masomoni mhhhhhhh!!
Hivi pilipili ni salama kwa kwa mwanamke mjamzito? Kuna wadada hapa ambao labda kipindi cha ujauzito mlikula pilipili vipi hazikuwadhuru? Mie mwenzenu mpenzi sana wa pili pili na katika hali hii bado nakula, nakatazwa kula lakini wala siachi.Je pili pili ina madhara yoyote kwa unborn child?
..........3 weeks ago nilikuwa hoi, chakula changu kilikuwa ni drip tu, maana nilikuwa nasikia njaa lakini chakula hakiliki hadi ikabidi niwe admitted hospital.Nashukuru nimeshatoka hospital lakini sasa hivi ni njaa kwenda mbele. Nimeanza second trimester sasa lakini bado tu naishiwa nguvu, sijui hata nifanyeje?
Mimba kumbe ni shughuli jamani...........watu tumetolewa mbali kumbe.Na hivi nimenasa huku nipo masomoni mhhhhhhh!!
Hivi pilipili ni salama kwa kwa mwanamke mjamzito? Kuna wadada hapa ambao labda kipindi cha ujauzito mlikula pilipili vipi hazikuwadhuru? Mie mwenzenu mpenzi sana wa pili pili na katika hali hii bado nakula, nakatazwa kula lakini wala siachi.Je pili pili ina madhara yoyote kwa unborn child?