Sawa sawa!Neno ili limetokana au limekopwa kutoka kwenye lugha ya Kiarabu Tajassus,kwa maana ya upelelezi... mpelelezi anaitwa Jasus... Sisi tunatamka JASUSI, kwa maana hiyo Jasusi ni mpelelezi.
NB:
Ila mara nyingi linatumika kwa mtu ambaye ametumwa na nchi yake kwenda kupeleleza nchi nyingine.
asante na mimi nimepata pia ili ukizama zaidi utasaidia wengi sanaNeno ili limetokana au limekopwa kutoka kwenye lugha ya Kiarabu Tajassus,kwa maana ya upelelezi... mpelelezi anaitwa Jasus... Sisi tunatamka JASUSI, kwa maana hiyo Jasusi ni mpelelezi.
NB:
Ila mara nyingi linatumika kwa mtu ambaye ametumwa na nchi yake kwenda kupeleleza nchi nyingine.