Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,568
Cc @Hamphery PolepoleNi kweli kabisa ujasusi ni muhimu katika uongozi.lkn ndugu yangu nikwambie tu hawa wengi unaowaona kuwa ni viongozi wengi wanatokea tiss mfano h.polepole ni mtu wa tiss totally p.makonda kadhalika.shida ni vipaumbele vyao wanawaza watawale ili watajirike lkn si kwa manufaa ya nchi.yapo mengi kwa leo inatosha.