Baba mtata
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 280
- 40
Heshima wakuu
Naomba mwenye uelewa kuhusu masuala ya ujasiriamali mana nasikia kila siku vijana tuwe wajasiriamali lakini sijapata elimu kuhusu ujasiriamali kwahiyo mwenye uelewa hata kwa maana tu ya neno ujasiriamali na sifa zake
Naomba mwenye uelewa kuhusu masuala ya ujasiriamali mana nasikia kila siku vijana tuwe wajasiriamali lakini sijapata elimu kuhusu ujasiriamali kwahiyo mwenye uelewa hata kwa maana tu ya neno ujasiriamali na sifa zake