Mapico
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 556
- 1,270
Habari zenu wakuu poleni na majukumu ya kila siku.
Imepita kama miezi 3 hapo nyuma tangu hii hali nianze kuiona aisee ukiwa unashuka na pantoni pale ferry kuanzia kituo cha juu kukata tiketi utakutana na watu wamefunga njia wanauza madafu na bidhaaa ndogo ndogo hamna shida kwa vile riziki ndiyo inatafutwa popote
Kimbembe ukifika stendi kipande cha barabara ya kutoka na kuingia.
Magari ya kibada toangoma hawa wafanyabiashara wasipodhibitiwa wanasababisha kero. hakuna sehemu ya kupita sehemu ya watembea kwa miguu wameweka vibanda na meza za matunda.
Hakuna sehemu ya kupita ukipita utapita kati kati ya barabara na ni hatari kwa watembea kwa miguu wanasababisha usumbufu kwa watumiaji wengine wa barabara .
Halmashauri ya wilaya ya Kigamboni je hili hamlioni au ndiyo mpaka litokee la kutokea muamke
Namulika uzi teyari"
Imepita kama miezi 3 hapo nyuma tangu hii hali nianze kuiona aisee ukiwa unashuka na pantoni pale ferry kuanzia kituo cha juu kukata tiketi utakutana na watu wamefunga njia wanauza madafu na bidhaaa ndogo ndogo hamna shida kwa vile riziki ndiyo inatafutwa popote
Kimbembe ukifika stendi kipande cha barabara ya kutoka na kuingia.
Magari ya kibada toangoma hawa wafanyabiashara wasipodhibitiwa wanasababisha kero. hakuna sehemu ya kupita sehemu ya watembea kwa miguu wameweka vibanda na meza za matunda.
Hakuna sehemu ya kupita ukipita utapita kati kati ya barabara na ni hatari kwa watembea kwa miguu wanasababisha usumbufu kwa watumiaji wengine wa barabara .
Halmashauri ya wilaya ya Kigamboni je hili hamlioni au ndiyo mpaka litokee la kutokea muamke
Namulika uzi teyari"