Davis chelsea
Member
- Jul 28, 2011
- 93
- 10
Guys ukiwa unasoma chuo kama udsm unaweza kufanya ishu yeyote ya kukuingizia kipato?naombeni mniambie kama inawezekana na ni ishu gani au biashara gani mtu unaweza fanya
Guys ukiwa unasoma chuo kama udsm unaweza kufanya ishu yeyote ya kukuingizia kipato?naombeni mniambie kama inawezekana na ni ishu gani au biashara gani mtu unaweza fanya
<br />ni ishu gani labda ambazo unaweza fanya na ukabalance time vizuri?