Ujasiri wa Rais Magufuli juu ya janga la korona katika ulimwengu wa roho

Tunaongea sayansi hapa acha kuleta mifano yako isiyo na kichwa wala miguu. Sayansi ya kupambana na Covid-19 Marekani ndiyo hiyo hiyo ya kupambana na COVID Tanzania au nchi nyingine yoyote ile.

Ulimwengu wako wa roho kaa nao mwenyewe hausaidii chochote kwenye kupunguza maambukizi au vifo vinavyosababishwa na corona.
Mkuu siyo lazima kile anachofanya jirani yako na wewe ufanye...kumbuka kila mmoja amembiwa kusudi lake na anapaswa kulitekeleza.

Halikadhalika mataifa yote unayoyaona Duniani yana kusudi la uwepo wake hayapo hivihivi tu..." there must be a purpose"..
Tanzania ina kusudi la uwepo wake hakuna kinachofanyika kwa bahati mbaya katika ulimwengu wa roho...ni suala la kuwa tayari kusikiliza sauti ya ndani.
 
Tunaongea sayansi hapa acha kuleta mifano yako isiyo na kichwa wala miguu. Sayansi ya kupambana na Covid-19 Marekani ndiyo hiyo hiyo ya kupambana na COVID Tanzania au nchi nyingine yoyote ile.

Ulimwengu wako wa roho kaa nao mwenyewe hausaidii chochote kwenye kupunguza maambukizi au vifo vinavyosababishwa na corona.
 
Awali ya yote napenda kutoa salamu za dhati kabisa kutoka katika kina cha nia yangu kwenu nyote nikiwa na uhakika salamu hii itapokelewa na kila mtu atakayesoma andiko hili na kuruhusu kuelewa zaidi ya uelewa ulivyo.

Natamani sana andiko langu niliweke katika lugha ambayo itamfanya kila mmoja kuelewa kwa urahisi kabisa kwa kuyaweka mambo ya ulimwengu wa roho katika hali ya wazi tofauti na yanavyochukuliwa na baadhi ya watu.

Ni vyema kabisa tukajua kuwa sisi sote ni viumbe wa kiroho tunaoishi katika mwili. Mwili ni kibebeo chetu na siyo sisi. Itakuwa vyema na wewe ukalitambua hili mapema kabisa ili unapoendelea kusoma andiko hili usitume shaka juu ya nitakayoyaandika.

Baada ya kutambua kuwa sisi ni viumbe wa kiroho tunaoishi katika mwili tunapaswa kufahamu pia sifa ya kuu ya ulimwengu wa roho na roho.

Zipo sifa nyingi mno za ulimwengu wa roho ila kwa kurahisisha uelewa wetu juu ya andiko hili ni kwamba ulimwengu wa roho ni ulimwengu wa milele, hauna mwanzo wala mwisho na pia hautawaliwi na mipaka ya mahali na wakati. Ulimwengu huu unaweza kuwa kila mahali na kila wakati.

Roho hayo ina sifa kama za ulimwengu wa kiroho ulivyo yaani haifungwi na gereza la mahali na muda kama ulimwengu wa mwili ulivyo ambao mwili wa kifuzikali huwa katika gereza la mahali na muda na hivyo kuwa katika mipaka mingi ya kuelewa na utendaji.

Kwanini natamani kuzungumzia ujasiri wa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania katika ulimwengu wa roho juu ya janga la Korona?..Hapa ndipo lilipo kiini cha andiko hili na ninatamani kila mmoja kuelewa ulimwengu huu unavyotenda kazi ndani yetu.

Ikumbukwe kuwa ulimwengu wa vitu hauna nguvu na hatuwezi kumba ila ulimwengu wa roho ndiyo wenye nguvu na ndiyo unaoumba vitu vinavyoonekana na kuakisiwa na milango ya fahamu ya mwili.

Katika ulimwengu wa roho ndipo vilipo vyanzo vya kila kitu chenye umbile lolote lile linaloonekana katika ulimwengu wa vitu tunaouhusi kupitia milango ya fahamu.

Kwa mantiki hiyo kila kitu hufanyika katika ulimwengu wa roho kabla ya kuchukua umbile halisi na kuwa kitu kinachodhihirika katika ulimwengu wa vitu. Ieleweke kuwa hata magonjwa makubwa yanayoikumba Dunia ikiwemo Korona ina asili katika ulimwengu wa roho. Mambo mengi kabla ya kujidhihirisha huwa yanakuwa katika hali ya kukosa umbile "form less" na yanakuwa katika ulimwengu wa roho.

Jambo lolote ambalo hatulitambui au hatulioni kupitia macho ya kimwili haimaanishi halipo. Ulimwengu wa roho una utoselezo wa kila kitu na una sifa ya umilele. Ulimwengu huu wa milele una kila kitu hivyo ni jukumu letu kuangalia na kuumba maumbile ya vitu hivyo.

Ugonjwa huu wa Korona umepewa umbile na kudhihirika Duniani haimaanishi haukuwepo hapo awali, kama nimeliweka vizuri ni kwamba ulikuwepo ila ulikuwa hauna umbile la kuudhihirisha Duniani.

Ili kuweza kuharibu umbile la ugonjwa huu wa Korona Duniani kinachohitajika ni nguvu za kiroho kuweza kuona chanzo na kutambua namna ya kuharibu umbile bila woga wala wasiwasi.

Mheshimiwa Rais anapotuhamasisha kuendelea kumtanguliza Mungu huku tukijiwekea hadhari na kuendelea na majukumu ni dhahiri kauli hii haibahatishi ila inayoambatana na nguvu ya kutuunganisha na akili ya kiumbaji.

Amekuwa akisema ugonjwa huu ni vita ya kiuchumi mara kadhaa huenda tunaweza tukachelewa sana kuelewa kama tunaishia kuangalia kwa kutumia macho ya nyama na kusahau kuangalia kiroho.

Anaposema hii ni vita tuelewe hii ni vita habahatishi ni suala la sisi kurudi katika ulimwengu wa roho na kuangalia kwa sababu ulimwengu wa roho haukosei na haubahatishi.

Watanzania tunahitaji nguvu za roho ili kuelewa na kufanya sawasawa na tulivyoelewa na siyo tofauti na hapo.Chanjo ya Korona siyo muhimu kama chanjo ya roho zetu. Tukumbuke chanzo cha Korona siyo umbile la kimwili lililodhihirika Duniani na kusambaa kila mahali ila ni umbile la kiroho lilochukua umbile la ugonjwa katika ulimwengu wa kimwili.

Kujiweka vizuri kiroho ni vizuri kuliko kujiweka vizuri kimwili ndiyo maana ila mara anatusisitiza kuwa karibu na Mungu na kuwa karibu na Mungu ni kuwa karibu na ulimwengu wa kiroho. Kwa maana nyingine anatutaka tupambane na chanzo cha tatizo kwa kumtanguliza Mungu badala ya kupambana na matokeo ya tatizo kwa kuutanguliza mwili kupokea chanjo.
 
Awali ya yote napenda kutoa salamu za dhati kabisa kutoka katika kina cha nia yangu kwenu nyote nikiwa na uhakika salamu hii itapokelewa na kila mtu atakayesoma andiko hili na kuruhusu kuelewa zaidi ya uelewa ulivyo.

Natamani sana andiko langu niliweke katika lugha ambayo itamfanya kila mmoja kuelewa kwa urahisi kabisa kwa kuyaweka mambo ya ulimwengu wa roho katika hali ya wazi tofauti na yanavyochukuliwa na baadhi ya watu.

Ni vyema kabisa tukajua kuwa sisi sote ni viumbe wa kiroho tunaoishi katika mwili. Mwili ni kibebeo chetu na siyo sisi. Itakuwa vyema na wewe ukalitambua hili mapema kabisa ili unapoendelea kusoma andiko hili usitume shaka juu ya nitakayoyaandika.

Baada ya kutambua kuwa sisi ni viumbe wa kiroho tunaoishi katika mwili tunapaswa kufahamu pia sifa ya kuu ya ulimwengu wa roho na roho.

Zipo sifa nyingi mno za ulimwengu wa roho ila kwa kurahisisha uelewa wetu juu ya andiko hili ni kwamba ulimwengu wa roho ni ulimwengu wa milele, hauna mwanzo wala mwisho na pia hautawaliwi na mipaka ya mahali na wakati. Ulimwengu huu unaweza kuwa kila mahali na kila wakati.

Roho hayo ina sifa kama za ulimwengu wa kiroho ulivyo yaani haifungwi na gereza la mahali na muda kama ulimwengu wa mwili ulivyo ambao mwili wa kifuzikali huwa katika gereza la mahali na muda na hivyo kuwa katika mipaka mingi ya kuelewa na utendaji.

Kwanini natamani kuzungumzia ujasiri wa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania katika ulimwengu wa roho juu ya janga la Korona?..Hapa ndipo lilipo kiini cha andiko hili na ninatamani kila mmoja kuelewa ulimwengu huu unavyotenda kazi ndani yetu.

Ikumbukwe kuwa ulimwengu wa vitu hauna nguvu na hatuwezi kumba ila ulimwengu wa roho ndiyo wenye nguvu na ndiyo unaoumba vitu vinavyoonekana na kuakisiwa na milango ya fahamu ya mwili.

Katika ulimwengu wa roho ndipo vilipo vyanzo vya kila kitu chenye umbile lolote lile linaloonekana katika ulimwengu wa vitu tunaouhusi kupitia milango ya fahamu.

Kwa mantiki hiyo kila kitu hufanyika katika ulimwengu wa roho kabla ya kuchukua umbile halisi na kuwa kitu kinachodhihirika katika ulimwengu wa vitu. Ieleweke kuwa hata magonjwa makubwa yanayoikumba Dunia ikiwemo Korona ina asili katika ulimwengu wa roho. Mambo mengi kabla ya kujidhihirisha huwa yanakuwa katika hali ya kukosa umbile "form less" na yanakuwa katika ulimwengu wa roho.

Jambo lolote ambalo hatulitambui au hatulioni kupitia macho ya kimwili haimaanishi halipo. Ulimwengu wa roho una utoselezo wa kila kitu na una sifa ya umilele. Ulimwengu huu wa milele una kila kitu hivyo ni jukumu letu kuangalia na kuumba maumbile ya vitu hivyo.

Ugonjwa huu wa Korona umepewa umbile na kudhihirika Duniani haimaanishi haukuwepo hapo awali, kama nimeliweka vizuri ni kwamba ulikuwepo ila ulikuwa hauna umbile la kuudhihirisha Duniani.

Ili kuweza kuharibu umbile la ugonjwa huu wa Korona Duniani kinachohitajika ni nguvu za kiroho kuweza kuona chanzo na kutambua namna ya kuharibu umbile bila woga wala wasiwasi.

Mheshimiwa Rais anapotuhamasisha kuendelea kumtanguliza Mungu huku tukijiwekea hadhari na kuendelea na majukumu ni dhahiri kauli hii haibahatishi ila inayoambatana na nguvu ya kutuunganisha na akili ya kiumbaji.

Amekuwa akisema ugonjwa huu ni vita ya kiuchumi mara kadhaa huenda tunaweza tukachelewa sana kuelewa kama tunaishia kuangalia kwa kutumia macho ya nyama na kusahau kuangalia kiroho.

Anaposema hii ni vita tuelewe hii ni vita habahatishi ni suala la sisi kurudi katika ulimwengu wa roho na kuangalia kwa sababu ulimwengu wa roho haukosei na haubahatishi.

Watanzania tunahitaji nguvu za roho ili kuelewa na kufanya sawasawa na tulivyoelewa na siyo tofauti na hapo.Chanjo ya Korona siyo muhimu kama chanjo ya roho zetu. Tukumbuke chanzo cha Korona siyo umbile la kimwili lililodhihirika Duniani na kusambaa kila mahali ila ni umbile la kiroho lilochukua umbile la ugonjwa katika ulimwengu wa kimwili.

Kujiweka vizuri kiroho ni vizuri kuliko kujiweka vizuri kimwili ndiyo maana ila mara anatusisitiza kuwa karibu na Mungu na kuwa karibu na Mungu ni kuwa karibu na ulimwengu wa kiroho. Kwa maana nyingine anatutaka tupambane na chanzo cha tatizo kwa kumtanguliza Mungu badala ya kupambana na matokeo ya tatizo kwa kuutanguliza mwili kupokea chanjo.
Iyo vita ya kiuchumi tupigwa sisi tu?
 
Hatuwezi kuiona roho kwa macho kwa kuwa si mwili. Je, tumewahi kuuona upepo kwa macho? Hata kama hatujawahi kuuona lakini sauti yake, nguvu yake na matokeo au madhara yake, tunayasikia na kuyaona kwa hakika.

Kwahiyo, uwepo wa kitu fulani si lazima tukione kwa macho. Hata sauti hatujawahi kuziona lakini tunazitoa na kuzisikia kwa hakika! Umeme upo, tunauzalisha na kutoa nishati tunayoitumia sana, lakini umeme hauonekani kwa macho!

Vivyo hivyo roho yako ndiyo wewe mwenyewe. Mwili ni koti tu lililoivaa roho kama waya unavyokuwa na umeme. Waya bila umeme hauna nguvu yoyote, kama ambavyo mwili bila roho ni bure kabisa. Nguvu halisi iko rohoni.

Roho ikitoka tunakuwa tumekufa. Na mwili ukiharibika, roho hutoka pia. Aidha, kila mtu ana sehemu tatu kwa pamoja: mwili (flesh), nafsi (soul) ambayo hujumuisha akili (mind), hisia (emotions) na maamuzi (decisions), na kisha roho (spirit or heart). Nafsi hubeba utashi (conscience) ambao wanao watu tu, si wanyama.

Tunafanya jambo lolote kwa utashi wetu, kwa maamuzi yetu na mitazamo au mapenzi yetu. Tunu hiyo haipo kwa wanyama. Hata mnyama anapokunya hafikirii chochote - kunya kunamtokea tu "puuh" popote alipo!

Je, umewahi kutokewa ambapo unabishana na wewe mwenyewe? Akili yako inaamua kwenda mahali fulani, lakini ndani yako unasikia sauti ya chini inakukataza usiende! Ukiamua kwenda bila kuitii hiyo sauti ndani yako halafu ukapata shida huko uendako, utaanza kusema roho yangu ilinikataza! Roho yangu ilisita! Roho iligoma kwenda! Ahaah, roho yako ni wewe halisi, mwili ni koti tu.

Hata Yesu alithibitisha haya kwa waliodhani ni Roho baada ya kufufuka. Tusome Luka 24:37-39 na turudie 1 Thesalonike 5:23
 
Hatuwezi kuiona roho kwa macho kwa kuwa si mwili. Je, tumewahi kuuona upepo kwa macho? Hata kama hatujawahi kuuona lakini sauti yake, nguvu yake na matokeo au madhara yake, tunayasikia na kuyaona kwa hakika.

Kwahiyo, uwepo wa kitu fulani si lazima tukione kwa macho. Hata sauti hatujawahi kuziona lakini tunazitoa na kuzisikia kwa hakika! Umeme upo, tunauzalisha na kutoa nishati tunayoitumia sana, lakini umeme hauonekani kwa macho!

Vivyo hivyo roho yako ndiyo wewe mwenyewe. Mwili ni koti tu lililoivaa roho kama waya unavyokuwa na umeme. Waya bila umeme hauna nguvu yoyote, kama ambavyo mwili bila roho ni bure kabisa. Nguvu halisi iko rohoni.

Roho ikitoka tunakuwa tumekufa. Na mwili ukiharibika, roho hutoka pia. Aidha, kila mtu ana sehemu tatu kwa pamoja: mwili (flesh), nafsi (soul) ambayo hujumuisha akili (mind), hisia (emotions) na maamuzi (decisions), na kisha roho (spirit or heart). Nafsi hubeba utashi (conscience) ambao wanao watu tu, si wanyama.

Tunafanya jambo lolote kwa utashi, maamuzi na mitazamo au mapenzi yetu. Tunu hiyo haipo kwa wanyama. Hata mnyama anapokunya hafikirii chochote - kunya kunamtokea tu "puuh" popote alipo!

Je, umewahi kutokewa ambapo unabishana na wewe mwenyewe? Akili yako inaamua kwenda mahali fulani, lakini ndani yako unasikia sauti ya chini inakukataza usiende! Ukiamua kwenda bila kuitii hiyo sauti ndani yako halafu ukapata shida huko uendako, utaanza kusema roho yangu ilinikataza! Roho yangu ilisita! Roho iligoma kwenda! Aah, roho yako ni wewe halisi, mwili ni koti tu.

Hata Yesu alithibitisha haya kwa waliodhani ni Roho baada ya kufufuka. Tusome Luka 24:37-39 na turudie 1 Thesalonike 5:23
Asante.
 
Ndiyo maana nimetoka tujitambue kuwa sisi sote na wewe ikiwemo ni viumbe wa kiroho tunaoishi katika mwili.
Lengo ni kutaka kuliweka suala la kiroho nje ya mipaka tuliyoizoea
Hio mimi naita indoctrination..., na mwisho wa siku sababu ni Imani (kila mtu yupo entitled kuamini anachokiamini) pale tukitaka wote tuamini jambo moja ni mwanzo wa kushindwa kuvumiliana, hususan kwenye jamii zenye imani tofauti hence kama uwezekano upo kwenye mambo ya afya za watu imani iwe additional strategy na sio the only strategy.

Kama wanavyosema Imani yako itakuponya; huenda wewe imekuponya) sasa wasio na Imani ya kuweza kuhamisha milima hatuna budi kuwapa treatment kama inavyoshauriwa na daktari....
 
Hio mimi naita indoctrination..., na mwisho wa siku sababu ni Imani (kila mtu yupo entitled kuamini anachokiamini) pale tukitaka wote tuamini jambo moja ni mwanzo wa kushindwa kuvumiliana, hususan kwenye jamii zenye imani tofauti hence kama uwezekano upo kwenye mambo ya afya za watu imani iwe additional strategy na sio the only strategy.

Kama wanavyosema Imani yako itakuponya; huenda wewe imekuponya) sasa wasio na Imani ya kuweza kuhamisha milima hatuna budi kuwapa treatment kama inavyoshauriwa na daktari....
Mkuu unataka kukataa asili ya kila kitu?...sijaongekea dino hapa au imani yoyote ile ila nimeongea ulimwengu unaotawaka ulimwengu mwingine.
Elewa taratibu Kaka.
 
Awali ya yote napenda kutoa salamu za dhati kabisa kutoka katika kina cha nia yangu kwenu nyote nikiwa na uhakika salamu hii itapokelewa na kila mtu atakayesoma andiko hili na kuruhusu kuelewa zaidi ya uelewa ulivyo.

Natamani sana andiko langu niliweke katika lugha ambayo itamfanya kila mmoja kuelewa kwa urahisi kabisa kwa kuyaweka mambo ya ulimwengu wa roho katika hali ya wazi tofauti na yanavyochukuliwa na baadhi ya watu.

Ni vyema kabisa tukajua kuwa sisi sote ni viumbe wa kiroho tunaoishi katika mwili. Mwili ni kibebeo chetu na siyo sisi. Itakuwa vyema na wewe ukalitambua hili mapema kabisa ili unapoendelea kusoma andiko hili usitume shaka juu ya nitakayoyaandika.

Baada ya kutambua kuwa sisi ni viumbe wa kiroho tunaoishi katika mwili tunapaswa kufahamu pia sifa ya kuu ya ulimwengu wa roho na roho.

Zipo sifa nyingi mno za ulimwengu wa roho ila kwa kurahisisha uelewa wetu juu ya andiko hili ni kwamba ulimwengu wa roho ni ulimwengu wa milele, hauna mwanzo wala mwisho na pia hautawaliwi na mipaka ya mahali na wakati. Ulimwengu huu unaweza kuwa kila mahali na kila wakati.

Roho hayo ina sifa kama za ulimwengu wa kiroho ulivyo yaani haifungwi na gereza la mahali na muda kama ulimwengu wa mwili ulivyo ambao mwili wa kifuzikali huwa katika gereza la mahali na muda na hivyo kuwa katika mipaka mingi ya kuelewa na utendaji.

Kwanini natamani kuzungumzia ujasiri wa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania katika ulimwengu wa roho juu ya janga la Korona?..Hapa ndipo lilipo kiini cha andiko hili na ninatamani kila mmoja kuelewa ulimwengu huu unavyotenda kazi ndani yetu.

Ikumbukwe kuwa ulimwengu wa vitu hauna nguvu na hatuwezi kumba ila ulimwengu wa roho ndiyo wenye nguvu na ndiyo unaoumba vitu vinavyoonekana na kuakisiwa na milango ya fahamu ya mwili.

Katika ulimwengu wa roho ndipo vilipo vyanzo vya kila kitu chenye umbile lolote lile linaloonekana katika ulimwengu wa vitu tunaouhusi kupitia milango ya fahamu.

Kwa mantiki hiyo kila kitu hufanyika katika ulimwengu wa roho kabla ya kuchukua umbile halisi na kuwa kitu kinachodhihirika katika ulimwengu wa vitu. Ieleweke kuwa hata magonjwa makubwa yanayoikumba Dunia ikiwemo Korona ina asili katika ulimwengu wa roho. Mambo mengi kabla ya kujidhihirisha huwa yanakuwa katika hali ya kukosa umbile "form less" na yanakuwa katika ulimwengu wa roho.

Jambo lolote ambalo hatulitambui au hatulioni kupitia macho ya kimwili haimaanishi halipo. Ulimwengu wa roho una utoselezo wa kila kitu na una sifa ya umilele. Ulimwengu huu wa milele una kila kitu hivyo ni jukumu letu kuangalia na kuumba maumbile ya vitu hivyo.

Ugonjwa huu wa Korona umepewa umbile na kudhihirika Duniani haimaanishi haukuwepo hapo awali, kama nimeliweka vizuri ni kwamba ulikuwepo ila ulikuwa hauna umbile la kuudhihirisha Duniani.

Ili kuweza kuharibu umbile la ugonjwa huu wa Korona Duniani kinachohitajika ni nguvu za kiroho kuweza kuona chanzo na kutambua namna ya kuharibu umbile bila woga wala wasiwasi.

Mheshimiwa Rais anapotuhamasisha kuendelea kumtanguliza Mungu huku tukijiwekea hadhari na kuendelea na majukumu ni dhahiri kauli hii haibahatishi ila inayoambatana na nguvu ya kutuunganisha na akili ya kiumbaji.

Amekuwa akisema ugonjwa huu ni vita ya kiuchumi mara kadhaa huenda tunaweza tukachelewa sana kuelewa kama tunaishia kuangalia kwa kutumia macho ya nyama na kusahau kuangalia kiroho.

Anaposema hii ni vita tuelewe hii ni vita habahatishi ni suala la sisi kurudi katika ulimwengu wa roho na kuangalia kwa sababu ulimwengu wa roho haukosei na haubahatishi.

Watanzania tunahitaji nguvu za roho ili kuelewa na kufanya sawasawa na tulivyoelewa na siyo tofauti na hapo.Chanjo ya Korona siyo muhimu kama chanjo ya roho zetu. Tukumbuke chanzo cha Korona siyo umbile la kimwili lililodhihirika Duniani na kusambaa kila mahali ila ni umbile la kiroho lilochukua umbile la ugonjwa katika ulimwengu wa kimwili.

Kujiweka vizuri kiroho ni vizuri kuliko kujiweka vizuri kimwili ndiyo maana ila mara anatusisitiza kuwa karibu na Mungu na kuwa karibu na Mungu ni kuwa karibu na ulimwengu wa kiroho. Kwa maana nyingine anatutaka tupambane na chanzo cha tatizo kwa kumtanguliza Mungu badala ya kupambana na matokeo ya tatizo kwa kuutanguliza mwili kupokea chanjo.
Shut up!!!! usituletee habari za Kibwetere hapa!! yaani watu wetu wana malizizika sababu eti habari za kiroho!! amabazo hamzijui mbona mnakuwa wajinga hivi? mnamjaribu jaribu Mungu na mambo ya kijinga jinga kabisa tu!!!

Huyo mungu wenu wa kilokole huyooo!!! hakawiagi kuwa geuka nyie fanyeni upuuzi huo tu na mizaa isiyokoma!!! na mungu wa Jiwe ni mzungu yuko anaiishi hapo Vaticani palee ukivuka Tunisia tu!!!

Tangu zamani mungu mzungu hawapendi waafrica!! na hata kaa awapende hata mtambike uchi!!! anawaangalia tu mlivyo ving'ang' anizi lkn mpaka leo wewe na mkemia wako huyo mnamwamini tu hamtaki kujifunza nani Mungu wa kweli????
 
Umeshauri vema kabisa na kwa uungwana. Safi!
Hio mimi naita indoctrination..., na mwisho wa siku sababu ni Imani (kila mtu yupo entitled kuamini anachokiamini) pale tukitaka wote tuamini jambo moja ni mwanzo wa kushindwa kuvumiliana, hususan kwenye jamii zenye imani tofauti hence kama uwezekano upo kwenye mambo ya afya za watu imani iwe additional strategy na sio the only strategy.

Kama wanavyosema Imani yako itakuponya; huenda wewe imekuponya) sasa wasio na Imani ya kuweza kuhamisha milima hatuna budi kuwapa treatment kama inavyoshauriwa na daktari....
 
Hakuna ujasiri wowote wa kiroho anakimbia majuku yake kwa kutumia mwamvuli wa imani. Mbona kwenye malaria hawaambii muache kutumia neti zinazotoka mabeberu. Au mungu wenu ni wa Corona tu?
 
Nimeshaeleza na ninaendelea Mkuu fuatilia thread ila tambua wewe ni kiumbe wa kiroho anayeishi ndani ya mwili.
Usikubali mipaka ya muda na mahali inayoudhibiti mwili ikudhibiti na wewe.
Huezi eleweka! Roho na dunia wapi na wapi ww!?

Mathalani umeambukizwa korona, unapambanaje kiroho roho?
Na kipindupindu je?

Halafu ni lini kama nchi tulipambana kiroho?

Tupambane kuondoa ujinga, umasikini na maradhi, hayA ni mambo ya kiroho!?

Zipo taasisi za kidini zinazohusika na mambo ya kiroho na zinafahamika.

Serekali inayotoza watu kodi, inashtaki watu, kufilisi, kuwafunga na hata kunyonga watu. Wapi na wapi mkuu?

Acheni kutetea wanaokwepa majukumu kwa visingizio hewa.
 
Labda umekula ugoro mbichi,meko ni mentalcase hakuna mtawala anaaacha waliomchagua wanakufa ovyo bila yeye kutoa ujumbe wa kujikinga....ushetani na ujinga ndio unamsumbua,leo anasema barakoa za nje hazifai,wakti mwaka jana kazivaa sana na kukimbilia kwao kujificha
Awali ya yote napenda kutoa salamu za dhati kabisa kutoka katika kina cha nia yangu kwenu nyote nikiwa na uhakika salamu hii itapokelewa na kila mtu atakayesoma andiko hili na kuruhusu kuelewa zaidi ya uelewa ulivyo.

Natamani sana andiko langu niliweke katika lugha ambayo itamfanya kila mmoja kuelewa kwa urahisi kabisa kwa kuyaweka mambo ya ulimwengu wa roho katika hali ya wazi tofauti na yanavyochukuliwa na baadhi ya watu.

Ni vyema kabisa tukajua kuwa sisi sote ni viumbe wa kiroho tunaoishi katika mwili. Mwili ni kibebeo chetu na siyo sisi. Itakuwa vyema na wewe ukalitambua hili mapema kabisa ili unapoendelea kusoma andiko hili usitume shaka juu ya nitakayoyaandika.

Baada ya kutambua kuwa sisi ni viumbe wa kiroho tunaoishi katika mwili tunapaswa kufahamu pia sifa ya kuu ya ulimwengu wa roho na roho.

Zipo sifa nyingi mno za ulimwengu wa roho ila kwa kurahisisha uelewa wetu juu ya andiko hili ni kwamba ulimwengu wa roho ni ulimwengu wa milele, hauna mwanzo wala mwisho na pia hautawaliwi na mipaka ya mahali na wakati. Ulimwengu huu unaweza kuwa kila mahali na kila wakati.

Roho hayo ina sifa kama za ulimwengu wa kiroho ulivyo yaani haifungwi na gereza la mahali na muda kama ulimwengu wa mwili ulivyo ambao mwili wa kifuzikali huwa katika gereza la mahali na muda na hivyo kuwa katika mipaka mingi ya kuelewa na utendaji.

Kwanini natamani kuzungumzia ujasiri wa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania katika ulimwengu wa roho juu ya janga la Korona?..Hapa ndipo lilipo kiini cha andiko hili na ninatamani kila mmoja kuelewa ulimwengu huu unavyotenda kazi ndani yetu.

Ikumbukwe kuwa ulimwengu wa vitu hauna nguvu na hatuwezi kumba ila ulimwengu wa roho ndiyo wenye nguvu na ndiyo unaoumba vitu vinavyoonekana na kuakisiwa na milango ya fahamu ya mwili.

Katika ulimwengu wa roho ndipo vilipo vyanzo vya kila kitu chenye umbile lolote lile linaloonekana katika ulimwengu wa vitu tunaouhusi kupitia milango ya fahamu.

Kwa mantiki hiyo kila kitu hufanyika katika ulimwengu wa roho kabla ya kuchukua umbile halisi na kuwa kitu kinachodhihirika katika ulimwengu wa vitu. Ieleweke kuwa hata magonjwa makubwa yanayoikumba Dunia ikiwemo Korona ina asili katika ulimwengu wa roho. Mambo mengi kabla ya kujidhihirisha huwa yanakuwa katika hali ya kukosa umbile "form less" na yanakuwa katika ulimwengu wa roho.

Jambo lolote ambalo hatulitambui au hatulioni kupitia macho ya kimwili haimaanishi halipo. Ulimwengu wa roho una utoselezo wa kila kitu na una sifa ya umilele. Ulimwengu huu wa milele una kila kitu hivyo ni jukumu letu kuangalia na kuumba maumbile ya vitu hivyo.

Ugonjwa huu wa Korona umepewa umbile na kudhihirika Duniani haimaanishi haukuwepo hapo awali, kama nimeliweka vizuri ni kwamba ulikuwepo ila ulikuwa hauna umbile la kuudhihirisha Duniani.

Ili kuweza kuharibu umbile la ugonjwa huu wa Korona Duniani kinachohitajika ni nguvu za kiroho kuweza kuona chanzo na kutambua namna ya kuharibu umbile bila woga wala wasiwasi.

Mheshimiwa Rais anapotuhamasisha kuendelea kumtanguliza Mungu huku tukijiwekea hadhari na kuendelea na majukumu ni dhahiri kauli hii haibahatishi ila inayoambatana na nguvu ya kutuunganisha na akili ya kiumbaji.

Amekuwa akisema ugonjwa huu ni vita ya kiuchumi mara kadhaa huenda tunaweza tukachelewa sana kuelewa kama tunaishia kuangalia kwa kutumia macho ya nyama na kusahau kuangalia kiroho.

Anaposema hii ni vita tuelewe hii ni vita habahatishi ni suala la sisi kurudi katika ulimwengu wa roho na kuangalia kwa sababu ulimwengu wa roho haukosei na haubahatishi.

Watanzania tunahitaji nguvu za roho ili kuelewa na kufanya sawasawa na tulivyoelewa na siyo tofauti na hapo.Chanjo ya Korona siyo muhimu kama chanjo ya roho zetu. Tukumbuke chanzo cha Korona siyo umbile la kimwili lililodhihirika Duniani na kusambaa kila mahali ila ni umbile la kiroho lilochukua umbile la ugonjwa katika ulimwengu wa kimwili.

Kujiweka vizuri kiroho ni vizuri kuliko kujiweka vizuri kimwili ndiyo maana ila mara anatusisitiza kuwa karibu na Mungu na kuwa karibu na Mungu ni kuwa karibu na ulimwengu wa kiroho. Kwa maana nyingine anatutaka tupambane na chanzo cha tatizo kwa kumtanguliza Mungu badala ya kupambana na matokeo ya tatizo kwa kuutanguliza mwili kupokea chanjo.
 
Tatizo ni kuchanganya waganga na maombi

Giza na Nuru havikai pamoja, tushike moja, kama ni waganga au Mungu
 
Back
Top Bottom