Ujasiri wa Rais Magufuli juu ya janga la korona katika ulimwengu wa roho

Mkuu naomba kwa lugha rahisi kabisa elezea ni kwa namna gani ugonjwa wa Corona ni vita ya kiuchumi kwa Tanzania wakati huo ugonjwa upo Duniani kote?
Akielezea na mm unitag mkuu, hii sentesi sijawai ielewa"
 
Toa upuuzi wako hapa. Anaposema matambara ya kuziba pua hayatusaidii anamaanisha nini kama si kuziponda barakoa?
Barakoa za kutoka nje si salama uchunguzi ulifanywa lini na nani? Na zinatoka nchi gani ambayo inatuletea Watanzania barakoa ambazo si salama ili tufe?
Acha kusambaza ujuha wako ambao unaweza kabisa kuongeza kusambaa kwa maambukizi.

Mkuu hujaelewa jambo hapo Korona ni vita ya kiroho na siyo ya kimwili....tunaanzia kwenye formless kuja kwenye form.
Na pili Rais hajasagia barakoa ila ametutaka kuwa na tahadhari kubwa kwani siyo kila barakoa ni salama.
Mbona ameshauri kutumia za hapa Nchini (MSD) na za kujishonea?..
Kama angekuwa na nia ya kusagia kama ulivyodai unafikiri ameshauri juu ya hizo nyingine?
 
Toa upuuzi wako hapa. Anaposema matambara ya kuziba pua hayatusaidia anamaanisha nini kama si kuziponda barakoa?
Barakoa za kutoka nje si salama uchunguzi ulifanywa lini na nani? Na zinatoka nchi gani ambayo inatuletea Watanzania barakoa ambazo si salama ili tufe?
Acha kusambaza ujuha wako ambao unaweza kabisa kuongeza kusambaa kwa maambukizi.
Naam ndivyo unavyoona wewe!..
Naomba nikuulize na wewe....hivi barakoa za hapa Nchini zinazozaliswa na MSD unazichukulia kama nini?...
Jaribu kuangalia nyuma ya kila kitu Mkuu utaona kila kitu kwa sababu alishauri za kujishonea napo alitoa sababu.....
Usijenge hoja ukiwa umeizima akili yako upande mmoja na kuwasha upande mwingine.
 
Mkuu naomba kwa lugha rahisi kabisa elezea ni kwa namna gani ugonjwa wa Corona ni vita ya kiuchumi kwa Tanzania wakati huo ugonjwa upo Duniani kote?
Ni ugonjwa pekee unaowafanya watu wengi usijishughulishe na uzalishaji mali kwa wakati mmoja.
Tafiti zinaonesha uchumi wa Nchi nyingi Duniani umeyumba kutokana na ugonjwa huu ndani ya muda MFUPI ukilinganisha na magonjwa mengine.(nieleweke kuwa ninaafiki kuwa magonjwa mengi hudhohofisha uchumi lakini kasi hutofautiana kasi ya COVID-19 kudhohofisha uchumi ni kubwa ukilinganisha na maradhi mengine.)
Gharama za matibabu na vifaa tiba, idadi ya wagonjwa na msambao wake ni tishio la uchumi.
Inaendelea.
 
Sawa kabisa, maana Mungu naye ni Roho na anaabudiwa rohoni, si mahali fulani panapoonekana kwa macho. Ukiwa macho rohoni na kumtegemea Mungu, vitu vya mwilini au vinavyoonekana havina nguvu kabisa, kwa kuwa Mungu aliye ndani yetu (rohoni), ana mamlaka na nguvu zote kuliko yeyote, awe rohoni au nje ya roho! Kongole kwa kufunuliwa hiyo siri kubwa na ya kweli!
Awali ya yote napenda kutoa salamu za dhati kabisa kutoka katika kina cha nia yangu kwenu nyote nikiwa na uhakika salamu hii itapokelewa na kila mtu atakayesoma andiko hili na kuruhusu kuelewa zaidi ya uelewa ulivyo.

Natamani sana andiko langu niliweke katika lugha ambayo itamfanya kila mmoja kuelewa kwa urahisi kabisa kwa kuyaweka mambo ya ulimwengu wa roho katika hali ya wazi tofauti na yanavyochukuliwa na baadhi ya watu.

Ni vyema kabisa tukajua kuwa sisi sote ni viumbe wa kiroho tunaoishi katika mwili. Mwili ni kibebeo chetu na siyo sisi. Itakuwa vyema na wewe ukalitambua hili mapema kabisa ili unapoendelea kusoma andiko hili usitume shaka juu ya nitakayoyaandika.

Baada ya kutambua kuwa sisi ni viumbe wa kiroho tunaoishi katika mwili tunapaswa kufahamu pia sifa ya kuu ya ulimwengu wa roho na roho.

Zipo sifa nyingi mno za ulimwengu wa roho ila kwa kurahisisha uelewa wetu juu ya andiko hili ni kwamba ulimwengu wa roho ni ulimwengu wa milele, hauna mwanzo wala mwisho na pia hautawaliwi na mipaka ya mahali na wakati. Ulimwengu huu unaweza kuwa kila mahali na kila wakati.

Roho hayo inasoma kama za ulimwengu wa kiroho ulivyo yaani haifungwi na gereza la mahali na muda kama ulimwengu wa mwili ulivyo ambao mwili wa kifuzikali huwa katika gereza la mahali na muda na hivyo kuwa katika mipaka mingi ya kuelewa na utendaji.

Kwanini natamani kuzungumzia ujasiri wa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania katika ulimwengu wa roho juu ya janga la Korona?..Hapa ndipo lilipo kiini cha andiko hili na ninatamani kila mmoja kuelewa ulimwengu huu unavyotenda kazi ndani yetu.

Ikumbukwe kuwa ulimwengu wa vitu hauna nguvu na hatuwezi kumba ila ulimwengu wa roho ndiyo wenye nguvu na ndiyo unaoumba vitu vinavyoonekana na kuakisiwa na milango ya fahamu ya mwili.

Katika ulimwengu wa roho ndipo vilipo vyanzo vya kila kitu chenye umbile lolote lile linaloonekana katika ulimwengu wa vitu tunaouhusi kupitia milango ya fahamu.

Kwa mantiki hiyo kila kitu hufanyika katika ulimwengu wa roho kabla ya kuchukua umbile halisi na kuwa kitu kinachodhihirika katika ulimwengu wa vitu. Ieleweke kuwa hata magonjwa makubwa yanayoikumba Dunia ikiwemo Korona ina asili katika ulimwengu wa roho. Mambo mengi kabla ya kujidhihirisha huwa yanakuwa katika hali ya kukosa umbile "form less" na yanakuwa katika ulimwengu wa roho.

Jambo lolote ambalo hatulitambui au hatulioni kupitia macho ya kimwili haimaanishi halipo. Ulimwengu wa roho una utoselezo wa kila kitu na una sifa ya umilele. Ulimwengu huu wa milele una kila kitu hivyo ni jukumu letu kuangalia na kuumba maumbile ya vitu hivyo.

Ugonjwa huu wa Korona umepewa umbile na kudhihirika Duniani haimaanishi haukuwepo hapo awali, kama nimeliweka vizuri ni kwamba ulikuwepo ila ulikuwa hauna umbile la kuudhihirisha Duniani.

Ili kuweza kuharibu umbile la ugonjwa huu wa Korona Duniani kinachohitajika ni nguvu za kiroho kuweza kuona chanzo na kutambua namna ya kuharibu umbile bila woga wala wasiwasi.

Mheshimiwa Rais anapotuhamasisha kuendelea kumtanguliza Mungu huku tukijiwekea hadhari na kuendelea na majukumu ni dhahiri kauli hii haibahatishi ila inayoambatana na nguvu ya kutuunganisha na akili ya kiumbaji.

Amekuwa akisema ugonjwa huu ni vita ya kiuchumi mara kadhaa huenda tunaweza tukachelewa sana kuelewa kama tunaishia kuangalia kwa kutumia macho ya nyama na kusahau kuangalia kiroho.

Anaposema hii ni vita tuelewe hii ni vita habahatishi ni suala la sisi kurudi katika ulimwengu wa roho na kuangalia kwa sababu ulimwengu wa roho haukosei na haubahatishi.

Watanzania tunahitaji nguvu za roho ili kuelewa na kufanya sawasawa na tulivyoelewa na siyo tofauti na hapo.Chanjo ya Korona siyo muhimu kama chanjo ya roho zetu. Tukumbuke chanzo cha Korona siyo umbile la kimwili lililodhihirika Duniani na kusambaa kila mahali ila ni umbile la kiroho lilochukua umbile la ugonjwa katika ulimwengu wa kimwili.

Kujiweka vizuri kiroho ni vizuri kuliko kujiweka vizuri kimwili ndiyo maana ila mara anatusisitiza kuwa karibu na Mungu na kuwa karibu na Mungu ni kuwa karibu na ulimwengu wa kiroho. Kwa maana nyingine anatutaka tupambane na chanzo cha tatizo kwa kumtanguliza Mungu badala ya kupambana na matokeo ya tatizo kwa kuutanguliza mwili kupokea chanjo.
 
Ni upumbavu sana mtu mzima mwenye akili kama wewe kuja humu na hoja za kipumbavu zaidi namna hii

Ujasiri wa nini?

Ujasiri wa kua mjinga kutokufuata masharti na maangalizo ya wataalamu na sayansi ili tupunguze ukali wa huu ugonjwa?

Ujasiri wa kua mjinga kukwepa jukumu la kupambana na huu ugonjwa?

Ukiwa hufanyi lolote,huchukui taadhari za kitabibu,kutafuta chanjo,kuweka regulations kuzuia maambukizi,kujaza hospitali with oxygen,upimaji,isolation,etc ndio ujasiri wa kupambana na huu ugonjwa?....

Yaani kutokufanya lolote ni "UJASIRI" wa kupambana na huu ugonjwa?

Yaani umekaa ofisini hufanyi lolote la maana halafu eti wewe unamuita huyu mtu "JASIRI" wa kupambana na ugonjwa?

Ujasiri ndio huo wa kukwepa majukumu,kutokutafuta solution na kuacha wananchi wako wanakufa na kufanya denial eti ugonjwa haupo eti wewe ndio unaita ni "UJASIRI"?

Eti "mambo ya kiroho"?.....Haya wazee wa kiroho sana,leo mnaita waganga wa kienyeji eti watibu korona..mmefika huku?

Vichaa nyoooooote

Akielezea na mm unitag mkuu, hii sentesi sijawai ielewa"
Nimeshaeleza na ninaendelea Mkuu fuatilia thread ila tambua wewe ni kiumbe wa kiroho anayeishi ndani ya mwili.
Usikubali mipaka ya muda na mahali inayoudhibiti mwili ikudhibiti na wewe.
 
Yaani bongo kuna wajuaji balaa,Leo corona umekua ugonjwa wa kiroho Mara brah brah nyiiiiingi,nyie ndo mlikua watetezi wa babu wa loliondo enzi zile et ukinywa kikombe uwe na imani ndo utapona,upuuzi tu kwendraaa zenu,watu kama nyie ndo mfano wa yule nabii aliechoma watu kanisani kwake Uganda kwa kuaminisha watu ujinga
Et mwaka 2000 ni mwisho wa dunia kiimani wakati kisayansi ni New millennium haaaahaaaahaaa!
 
Yaani bongo kuna wajuaji balaa,Leo corona umekua ugonjwa wa kiroho Mara brah brah nyiiiiingi,nyie ndo mlikua watetezi wa babu wa loliondo enzi zile et ukinywa kikombe uwe na imani ndo utapona,upuuzi tu kwendraaa zenu,watu kama nyie ndo mfano wa yule nabii aliechoma watu kanisani kwake Uganda kwa kuaminisha watu ujinga
Et mwaka 2000 ni mwisho wa dunia kiimani wakati kisayansi ni New millennium haaaahaaaahaaa!
Unataka kukataa uhalisia wako Mkuu.
Je wewe siyo kiumbe wa kiroho?....
 
Awali ya yote napenda kutoa salamu za dhati kabisa kutoka katika kina cha nia yangu kwenu nyote nikiwa na uhakika salamu hii itapokelewa na kila mtu atakayesoma andiko hili na kuruhusu kuelewa zaidi ya uelewa ulivyo.

Natamani sana andiko langu niliweke katika lugha ambayo itamfanya kila mmoja kuelewa kwa urahisi kabisa kwa kuyaweka mambo ya ulimwengu wa roho katika hali ya wazi tofauti na yanavyochukuliwa na baadhi ya watu.

Ni vyema kabisa tukajua kuwa sisi sote ni viumbe wa kiroho tunaoishi katika mwili. Mwili ni kibebeo chetu na siyo sisi. Itakuwa vyema na wewe ukalitambua hili mapema kabisa ili unapoendelea kusoma andiko hili usitume shaka juu ya nitakayoyaandika.

Baada ya kutambua kuwa sisi ni viumbe wa kiroho tunaoishi katika mwili tunapaswa kufahamu pia sifa ya kuu ya ulimwengu wa roho na roho.

Zipo sifa nyingi mno za ulimwengu wa roho ila kwa kurahisisha uelewa wetu juu ya andiko hili ni kwamba ulimwengu wa roho ni ulimwengu wa milele, hauna mwanzo wala mwisho na pia hautawaliwi na mipaka ya mahali na wakati. Ulimwengu huu unaweza kuwa kila mahali na kila wakati.

Roho hayo inasoma kama za ulimwengu wa kiroho ulivyo yaani haifungwi na gereza la mahali na muda kama ulimwengu wa mwili ulivyo ambao mwili wa kifuzikali huwa katika gereza la mahali na muda na hivyo kuwa katika mipaka mingi ya kuelewa na utendaji.

Kwanini natamani kuzungumzia ujasiri wa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania katika ulimwengu wa roho juu ya janga la Korona?..Hapa ndipo lilipo kiini cha andiko hili na ninatamani kila mmoja kuelewa ulimwengu huu unavyotenda kazi ndani yetu.

Ikumbukwe kuwa ulimwengu wa vitu hauna nguvu na hatuwezi kumba ila ulimwengu wa roho ndiyo wenye nguvu na ndiyo unaoumba vitu vinavyoonekana na kuakisiwa na milango ya fahamu ya mwili.

Katika ulimwengu wa roho ndipo vilipo vyanzo vya kila kitu chenye umbile lolote lile linaloonekana katika ulimwengu wa vitu tunaouhusi kupitia milango ya fahamu.

Kwa mantiki hiyo kila kitu hufanyika katika ulimwengu wa roho kabla ya kuchukua umbile halisi na kuwa kitu kinachodhihirika katika ulimwengu wa vitu. Ieleweke kuwa hata magonjwa makubwa yanayoikumba Dunia ikiwemo Korona ina asili katika ulimwengu wa roho. Mambo mengi kabla ya kujidhihirisha huwa yanakuwa katika hali ya kukosa umbile "form less" na yanakuwa katika ulimwengu wa roho.

Jambo lolote ambalo hatulitambui au hatulioni kupitia macho ya kimwili haimaanishi halipo. Ulimwengu wa roho una utoselezo wa kila kitu na una sifa ya umilele. Ulimwengu huu wa milele una kila kitu hivyo ni jukumu letu kuangalia na kuumba maumbile ya vitu hivyo.

Ugonjwa huu wa Korona umepewa umbile na kudhihirika Duniani haimaanishi haukuwepo hapo awali, kama nimeliweka vizuri ni kwamba ulikuwepo ila ulikuwa hauna umbile la kuudhihirisha Duniani.

Ili kuweza kuharibu umbile la ugonjwa huu wa Korona Duniani kinachohitajika ni nguvu za kiroho kuweza kuona chanzo na kutambua namna ya kuharibu umbile bila woga wala wasiwasi.

Mheshimiwa Rais anapotuhamasisha kuendelea kumtanguliza Mungu huku tukijiwekea hadhari na kuendelea na majukumu ni dhahiri kauli hii haibahatishi ila inayoambatana na nguvu ya kutuunganisha na akili ya kiumbaji.

Amekuwa akisema ugonjwa huu ni vita ya kiuchumi mara kadhaa huenda tunaweza tukachelewa sana kuelewa kama tunaishia kuangalia kwa kutumia macho ya nyama na kusahau kuangalia kiroho.

Anaposema hii ni vita tuelewe hii ni vita habahatishi ni suala la sisi kurudi katika ulimwengu wa roho na kuangalia kwa sababu ulimwengu wa roho haukosei na haubahatishi.

Watanzania tunahitaji nguvu za roho ili kuelewa na kufanya sawasawa na tulivyoelewa na siyo tofauti na hapo.Chanjo ya Korona siyo muhimu kama chanjo ya roho zetu. Tukumbuke chanzo cha Korona siyo umbile la kimwili lililodhihirika Duniani na kusambaa kila mahali ila ni umbile la kiroho lilochukua umbile la ugonjwa katika ulimwengu wa kimwili.

Kujiweka vizuri kiroho ni vizuri kuliko kujiweka vizuri kimwili ndiyo maana ila mara anatusisitiza kuwa karibu na Mungu na kuwa karibu na Mungu ni kuwa karibu na ulimwengu wa kiroho. Kwa maana nyingine anatutaka tupambane na chanzo cha tatizo kwa kumtanguliza Mungu badala ya kupambana na matokeo ya tatizo kwa kuutanguliza mwili kupokea chanjo.
Mlaki umeeleza vizuri lakini umekosa muunganisho kati ya mwili na roho. Roho ni formless na timeless lakini Kuna kanuni zinazoongoza mwili (physical body )magonjwa ya kuambukiza yanahitaji tiba. Ndio hivyo hamna ubishi, usifungwe na mtazamo binafsi na kuelezea Ulimwengu mwingine in order to justify what you believe with your mind which also part of your physical dimension .
 
Mlaki umeeleza vizuri lakini umekosa muunganisho kati ya mwili na roho. Roho ni formless na timeless lakini Kuna kanuni zinazoongoza mwili (physical body )magonjwa ya kuambukiza yanahitaji tiba. Ndio hivyo hamna ubishi, usifungwe na mtazamo binafsi na kuelezea Ulimwengu mwingine in order to justify what you believe with your mind which also part of your physical dimension .
Naam nakuunga mkono ila kumbuka kinachouongoza mwili ni kitu kisichoonekana " formless and timeless" na baadhi ya wanafalsafa wanakipa sifa ya eternity(umilele) na omnipresent (uwepo kila mahali).
Ulimwengu wa roho unatawala ulimwengu wa mwili kwa maana hiyo mwili ni receptive tool tu ya masuala yanyotokea kwenye ulimwengu wa roho.
Taratibu tu itaeleweka vizuri.
 
Roho (spirit) ndiye mtu halisi (real human being), imevaa nafsi (soul) na mwili (flesh). Uwepo wako wa ndani kabisa ndiyo roho yako. Nafsi ina utashi ambako kuna akili, hisia na maamuzi

1 Wathesalonike 5:23
 
Jibu swali acha kuruka kuruka! Barakoa zisizo salama zimetoka nchi gani na ni nani na lini aliyegundua si salama? Nchi nyingi za Afrika zinapata barakoa toka nje mbona hatujasikia hata moja ya nchi za Africa ikilalama kuhusu huu upuuzi wa barakoa zisizo salama?
Naam ndivyo unavyoona wewe!..
Naomba nikuulize na wewe....hivi barakoa za hapa Nchini zinazozaliswa na MSD unazichukulia kama nini?...
Jaribu kuangalia nyuma ya kila kitu Mkuu utaona kila kitu kwa sababu alishauri za kujishonea napo alitoa sababu.....
Usijenge hoja ukiwa umeizima akili yako upande mmoja na kuwasha upande mwingine.
 
Ni ugonjwa pekee unaowafanya watu wengi usijishughulishe na uzalishaji mali kwa wakati mmoja.
Tafiti zinaonesha uchumi wa Nchi nyingi Duniani umeyumba kutokana na ugonjwa huu ndani ya muda MFUPI ukilinganisha na magonjwa mengine.(nieleweke kuwa ninaafiki kuwa magonjwa mengi hudhohofisha uchumi lakini kasi hutofautiana kasi ya COVID-19 kudhohofisha uchumi ni kubwa ukilinganisha na maradhi mengine.)
Gharama za matibabu na vifaa tiba, idadi ya wagonjwa na msambao wake ni tishio la uchumi.
Inaendelea.
Mkuu umeeleza generally jinsi ugonjwa wa corona unavyoathiri uchumi wa nchi zote which I agree with you. Naomba sasa unieleweshe ni kwa namna gani ugonjwa wa corona ni vita ya Kiuchumi kwa Tanzania. Tunapigana wa watu gani ikiwa nchi zote zina tatizo la Corona?
 
Roho (spirit) ndiye mtu halisi (real human being), imevaa nafsi (soul) na mwili (flesh). Uwepo wako wa ndani kabisa ndiyo roho yako. Nafsi ina utashi ambako kuna akili, hisia na maamuzi

1 Wathesalonike 5:23
Naam...nakubaliana na maelezo haya bila shaka kabisa.
Kinachokufanya wengi tukwame kilishawahi kuelezwa kuwa "Kuna vita kati ya mwili na roho" ....roho inaweza kuwa tayari kwa lolote lakini mwili ukakataa.
Kwa jinsi ya mwili ni vigumu sana kuelekea hapa ila kutafakari kwa kina umbali siyo vikwazo tunaona, tunawasiliana na tunaelewana.
Hakuna mpaka wala muda katika ulimwengu wa roho.
Katika ulimwengu wa roho ndipo ulipo uumbaji wote na ugunduzi wote uliuowahikufanyika ambao hakijafanyika na utakaofanyika.
Ulimwengu wa roho una sifa ya kutokuwa na ukomo na pia umilele.
.......nothing to fear.....
 
Naam!
Naam...nakubaliana na maelezo haya bila shaka kabisa.
Kinachokufanya wengi tukwame kilishawahi kuelezwa kuwa "Kuna vita kati ya mwili na roho" ....roho inaweza kuwa tayari kwa lolote lakini mwili ukakataa.
Kwa jinsi ya mwili ni vigumu sana kuelekea hapa ila kutafakari kwa kina umbali siyo vikwazo tunaona, tunawasiliana na tunaelewana.
Hakuna mpaka wala muda katika ulimwengu wa roho.
Katika ulimwengu wa roho ndipo ulipo uumbaji wote na ugunduzi wote uliuowahikufanyika ambao hakijafanyika na utakaofanyika.
Ulimwengu wa roho una sifa ya kutokuwa na ukomo na pia umilele.
.......nothing to fear.....
 
Jibu swali acha kuruka kuruka! Barakoa zisizo salama zimetoka nchi gani na ni nani na lini aliyegundua si salama? Nchi nyingi za Afrika zinapata barakoa toka nje mbona hatujasikia hata moja ya nchi za Africa ikilalama kuhusu huu upuuzi wa barakoa zisizo salama?
Mkuu siyo lazima kile anachofanya jirani yako na wewe ufanye...kumbuka kila mmoja ameumbiwa kusudi lake na anapaswa kulitekeleza.
Halikadhalika mataifa yote unayoyaona Duniani yana kusudi la uwepo wake hayapo hivihivi tu..." there must be a purpose"..
Tanzania ina kusudi la uwepo wake hakuna kinachofanyika kwa bahati mbaya katika ulimwengu wa roho...ni suala la kuwa tayari kusikiliza sauti ya ndani.
 
Mkuu umeeleza generally jinsi ugonjwa wa corona unavyoathiri uchumi wa nchi zote which I agree with you. Naomba sasa unieleweshe ni kwa namna gani ugonjwa wa corona ni vita ya Kiuchumi kwa Tanzania. Tunapigana wa watu gani ikiwa nchi zote zina tatizo la Corona?
Tunapigana na watu wenye nia ovu dhidi ya uchumi wa Dunia ikiwemo Tanzania katika ulimwengu wa roho.
 
It is very strange leo serikali inageuka ni mtetezi wa kiroho

Wakati kazi ya serikali ni kuangalia human scientific solutions kukabiliana na matatizo,yenyewe imeamua kugeuka watalaamu wa dini

Hii mambo ya kiroho and all its fake stuff waachieni mapadri na mashehe

Unataka kuniambia kila tatizo nchi hii serikali itakua inakimbilia "roho" kutatua?

Tuseme ikitokea mafuriko,radi,ujinga,miundombinu,kipindupindu,ajali,moto,bomu,etc serikali itakua inakimbilia "kiroho" kutafuta masuluhisho yake?

Serikali sio wataalamu wa roho,serikali itumie resources zilizopo za elimu,fiscal,wisdom,kimpango,mikakati,etc kutatua hizi shida

Sio eti "kiroho"....

Leo serikali ina PHD ya Theology na roho za watu

Stupid bunch of people indeed
Mkuu unanishangaza sana kukataa ukweli unapoishi kila uchao.
"Everything owe its origin from formless to form"...hata Serikali unazozitaja mwanzo wake ni katika ulimwengu wa roho.
Elewa usipaparike Kaka...Ulimwengu wa roho siyo Dini au imani fulani ila ni mwanzo halisi wa kila kitu unachokifahamu na usichokifahamu.
Usipinge jambo kwa sababu tu milango mitano ya fahamu hailielewi ....mwanadamu ana uwezo wa kuvuka mipaka ya milango ya fahamu na kuelewa vitu ambavyo ni vigumu kuelezea kwa kutumia milango hiyo.
........usiogope.....
Wewe ni kiumbe wa kiroho ndani ya mwili usitawaliwe sana na mipaka ya mwili wako.
 
Vipi Kuhusu Ule ulinzi wake Wa Mitutu ya Bunduki na Hellicopter, kwenye ulimwengu wa Kiroho mnaitaje aina hiyo ya Ulinzi.?
Mungu asipoulinda mji waulindao wafanya kazi bure.
"Ulinzi unaanza na ule wa kiroho huo tunaouona wa mitutu na bunduki ni taswira tu ya ulinzi halisi".
Kwa kifupi tunalindwa na sana katika ulimwengu wa roho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom