G.25
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 1,709
- 1,808
Akielezea na mm unitag mkuu, hii sentesi sijawai ielewa"Mkuu naomba kwa lugha rahisi kabisa elezea ni kwa namna gani ugonjwa wa Corona ni vita ya kiuchumi kwa Tanzania wakati huo ugonjwa upo Duniani kote?