Mvumbo
JF-Expert Member
- Aug 20, 2015
- 3,441
- 11,936
Salaam
Kwenye maisha kuna mambo yanatokea na ni mazito na wayafanyayo hawapendi kuambiwa hasa kama mambo yenyewe ni mabaya, wengi hawathubutu kutoa kauli juu yao haswa kama wahusika ni watu wenye nguvu...naam lakini wachache huweza kujitokeza na kukosoa tena uso kwa uso.
Lakini je, nini hatma ya maisha yao?
Je, bado tunao watu wa aina hii?
Tutazame video hii...
Kwenye maisha kuna mambo yanatokea na ni mazito na wayafanyayo hawapendi kuambiwa hasa kama mambo yenyewe ni mabaya, wengi hawathubutu kutoa kauli juu yao haswa kama wahusika ni watu wenye nguvu...naam lakini wachache huweza kujitokeza na kukosoa tena uso kwa uso.
Lakini je, nini hatma ya maisha yao?
Je, bado tunao watu wa aina hii?
Tutazame video hii...