platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,361
- 11,141
Tumeacha siku hizi!Tatizo wanawake wenu mnawakata visimi...hawana ladha kbsa
Tumeacha siku hizi!Tatizo wanawake wenu mnawakata visimi...hawana ladha kbsa
Asee unaabisha wahaya mi si wa ndoa nahusikaje na makosa ya wengine ,ila utakuwa mnyamboNyie mnaongeaga hayo Mara nyingi ni watoto wa nje
Na huyo Maregesi mbona ni kama wa Mara hukohuko, nini kilimpata mpaka asaidiwe na mkewe, au wanaume wa Mara ndo mazoba!
Hiyo mikoa uloitaja (Kagera, Kigoma, singida na Dodoma), ni watani zako? Mbona unawaharibia hivi wenzio??