Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,082
- 13,959
Mwambie Mbowe akupe nauli uvuke hata mpaka.Polisi wa Tanzania ni watakatifu kabisa kulinganisha na Kenya.Si kweli mkuu. Mbona kule Kenya, Rwanda na Burundi hakuna mapolisi wenye njaa kali kama hawa waliotapakaa hapa nchini tanzania. Hawa wa hapa wamezidi, sio kwa njaa hizi wanazopora mali za raia na kisha kuwaua. Ni uhuni na ujambazi wa hali ya juu.