Kwani zamani walikuwa wanalipwa mshahara mkubwa ukilinganisha na sasa mkuu?Shida sio wasomi tena hao wasomi wenyewe ndio wanaoisumbua serikali maana kwa elimu zao anaona anachelewa kupata maendeleo akifikiria elimu yake.
Mbona zamani kulikuwa na wa elimu ndogo hadi la saba b lakini weledi ulikuwepo? Tatizo hapo ni tamaa ya mali haraka haraka ebu wapewe mshahara wa kutosha uone kama kazi haijafanywa vizuri hata na rushwa yaweza pungua.
Ni bora wawe polisi wachache posho kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wewe unakubaliana na UJAMBAZI huu wa polisi au msimamo wako ni upi? Nini kifanyike?
Bora ukutane na majambazi kuliko polisi. Jambazi atakupora tu, Iia polisi atakupora na kukuua kabisa; akikuonea huruma anakubambikiza unga na bunduki ukafie jela.Hapana sikubaliani na ujambazi ninachokisema ni kwamba huwezi kutegemea kazi nzuri kutoka kwa Polisi au profession yoyote ile kama pia hauimarishi na kuboreaha mazingira, leo hii ukisema Waziri hakuna gari, nyumba na Mshahara laki 5 unafikiri ni wangapi watataka kuwa Waziri ?
Hivyo ili kubadilisha hali ni lazima kuendane kuboresha mazingira pia, vinginevyo hakuna kitakachobadilika.
Bora ukutane na majambazi kuliko polisi. Jambazi atakupora tu, Ila polisi atakupora na kukuua kabisa, akikuonea huruma anakubambikiza unga na bunduki, ukafie jela
Ujambazi wa polisi hatuutaki na pia hatutaki injustice katika nchi hii inayopelekea maovu kama haya. Sasa wewe unadhani nini kifanyike ili tuwe na jeshi la polisi na jamii iliyostaarabika? Tunatokaje kwenye mkwamo huu?Sasa unaelewa hiyo maana yake ? Unaelewa jamii ambayo imefikia hapo ni jamii ya aina gani ? Whatβs next ?
Ujambazi wa polisi hatuutaki na pia hatutaki injustice katika nchi hii inayopelekea maovu kama haya. Sasa wewe unadhani nini kifanyike ili tuwe na jeshi la polisi na jamii iliyostaarabika? Tunatokaje kwenye mkwamo huu?
ukizungumzia swala la mshahara mimi napingana na wewe kama ni mshahara wapo viongozi wa serikali wa ngazi za juu sana wanalipwa mamilioni ya pesa lakini bado wanajipimia kwa urefu wa kamba yao! mfano mzuri we umeshuhudia kashfa ngapi za ufisadi ambazo zinahusisha mabilioni ya pesa na ukiangalia wahusika ni watu wanaolipwa pesa nyingi zaidi ya hao wanaojiita polisi. kwaiyo hata walipwe tsh ngapi bado wataendelea na tabia yao kifupi ile ni nature tu ya ile kazi maana karibu hao jamaa wote ndio wapo hivyo! solution pekee wanapokuwa course wafundishwe sana juu ya maadili tofauti na hapo tutaendelea kuona vioja vya hawa jamaa kila siku....!! kwakweli mtoa mada umeongea jambo la maana sana kwani hawa jamaa wamekuwa kero sana katika jamii yetu unakuta mtu una maisha ya chini sana tofauti na yeye anayepokea mshahara japo ni mdogo lakin bado anatamani kukuchanja wewe mwana nchi wa hali ya chini tena anachofanya ni kukutengenezea kesi...! kama kuna mtu yeyote mwenye mamlaka umu jukwaani ninaomba alipitie kwa makini sana bandiko la huyu bwana kisha akalifanyie kazi kwani ameongea kitu cha maana sana kuhusu hawa jamaaShida sio wasomi tena hao wasomi wenyewe ndio wanaoisumbua serikali maana kwa elimu zao anaona anachelewa kupata maendeleo akifikiria elimu yake.
Mbona zamani kulikuwa na wa elimu ndogo hadi la saba b lakini weledi ulikuwepo? Tatizo hapo ni tamaa ya mali haraka haraka ebu wapewe mshahara wa kutosha uone kama kazi haijafanywa vizuri hata na rushwa yaweza pungua.
Ni bora wawe polisi wachache posho kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais kama rais pia anastahili lawama sababu yeye ndiye aliye mteua wazir mwenye dhaman kwaiyo anachotakiwa kufanya rais akiona mtu ha fit kwenye teuzi yake atumbue" sasa we kama rais unaona kabisa kwamba mtu hawajibiki bado tu una mchekea, unaona matendo ya uhalifu yanaongezeka bado tu umekaaNdio maana nimeagiza Waziri wa Mambo ya ndani na IGP Ziro wajiudhuru nyadhifa zao ili kuonyesha uwajibikaji binafsi. Wasimtwishe Rais Samia lawama zote hizi na kupelekea chuki dhidi ya serikali kutoka kwa wananchi wanyonge wanauliwa na polisi kama kuku kila kukicha.
Nakuhakikishia Kati ya Polisi 7 wa Mtwara, mmoja ni form 6 waliobaki Wana digrii. Sasa sijui elimu unaongelea ipi? Polisi imeoza.Hata sababu wanazotoa baada ya kumuua polisi mwenzao ni za kitoto sana. Polisi mwelewa mwenye divisheni wani au twu hawezi kutoa sababu ya kiqumer kama hii waliyotoa hawa failures
Njaa ni kitu kibaya sikatai lakini njaa ya msomi haiwezi kufanana na njaa ya kilaza. Serikali ya CCM ituondolee vilaza hawa waliojaa ndani ya jeshi la polisi ili kulijengea heshima jeshi hili linalozidi kuoza kila kukicha.Hata uwe na div 1,2,3masters,PhD ukishakuwa na tamaa,njaa itakuchukua tu
Alafu polisi kokote duniani kuna good cops and bad cops(crooks)
Ova
Si kweli mkuu. Mbona kule Kenya, Rwanda na Burundi hakuna mapolisi wenye njaa kali kama hawa waliotapakaa hapa nchini tanzania. Hawa wa hapa wamezidi, sio kwa njaa hizi wanazopora mali za raia na kisha kuwaua. Ni uhuni na ujambazi wa hali ya juu.Afrika nchi nyingi polisi wako hivyo hivyo
Kitabia
Ova
Labda polisi wawekewe mazingira bora,kuanzia mishahara,makazi,afya etc wawalipe vizuriNjaa ni kitu kibaya sikatai lakini njaa ya msomi haiwezikufanana na njaa ya kilaza. Serikali ya CCM ituondolee vilaza hawa waliojaa ndani ya jeshi la polisi ili kulijengea heshima jeshi hili linalozidi kuoza kila kukicha.
Mh nani kakuambiaSi kweli mkuu. Mbona kule Kenya, Rwanda na Burundi hakuna mapolisi wenye njaa kali kama hawa waliotapakaa hapa nchini tanzania. Hawa wa hapa wamezidi, sio kwa njaa hizi wanazopora mali za raia na kisha kuwaua. Ni uhuni na ujambazi wa hali ya juu.