Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
Pamoja na kuwa bastola ni silaha nzuri ya kujilinda, ulinzi mzuri wa nyumba hasa dhidi ya majambazi wengi ni shotgun. Bunduki hii inatoa risasi nyingi mithili ya gololi ambazo husambaa na kupiga watu wengi kwa mara moja. Hata hivyo haishauriwi uilenge kwa minajili ya kumuokoa mtu wako aliyekamatwa na jambazi maana kuna uwezekano wa kuwajeruhi wote.
View attachment 71638
View attachment 71637
Kumbeeee.. ndio maana mshua alikomaa kulimiliki...