Uvivu na roho mbaya. Ndiyo maana hatuna jitihada,tunawekeza nguvu kwa watu wengine.Umenena vyema. Wengi wanaona ni haki yao uwape pesa zako.
Ndiyooo!Huo ndiyo umoja.Ni vema mkashirikiana kutumia vitu kama wajamaa hata kama ni weye tu uliyetafuta kwa jasho.Kinyume na hapo weye ni mchoyo,unayejisikia na mkabila sana.