IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
- Thread starter
- #61
Mtoto lazima asome elimu zote haera na dunia,elimu ya haera ni bora kuliko ya dunia cz mafundisho mengi yanamuhasi mwenyezi Mungu mwingi wa rehema.Wamakonde wasengerema sana wana jifunza elimu ya dini wana acha elimu dunia unategemea nini usizaraulike? Mimi nafikiri kuna haja ya mashehe kwenda shule maana mambo wanayo wafundisha waumini ni ujinga mtupu, kuna shehe moja alikuwa anasema mkristo kumchumbia mwislam ni haramu kabisa wewe unasemaje kuhusu hilo