Uingereza yawapa tahadhari raia wake wanaosafiri kwenda Tanzania

Sawa kama ipo mbona ni hatari wangeacha wakapima tu ili kama ipo izuiwe haraka
Nahisi hapo kwenye kuachwa wapime wenyewe, ndio sintofahamu, ukizingatia hawa wazungu hawa sio wa kuwaamini kwa asilimia mia.
Wacha tuone mwisho wake.
 
Kama. IPO mbona hatuambukizani ili vifo viwe shuhuda?
Hawa wanampango wa kuleta vi ebora chini ya uchunguzi.
Fukuzeni kabisa
Wewe bint nikufahamishe huyo dr aliekufa Kwa ebola ni binamu yangu kabisa na hatukuruhusiwa kuweka matanga na dada zake wametoka juzi
 
Hivi majuzi, ubalozi wa USA ulitoa tahadhari kuhusu kuwepo kwa maambukizi ya ugonjwa wa Ebola nchini. Na ikasemekana kuwa kuna mwanamke mmoja alifariki kwa ugonjwa wa Ebola.

Leo tena, Uingereza na wao wametoa tahadhari kwa raia wao wanaotaka kuja Tanzania kwa kuwaambia kuwa kuna tishio la Ebola hapa nchini.

Hili swala kwa upande wangu naliangalia kwa namna mbili.

•Kipropaganda
Marekani na Uingereza ni washirika wa karibu sana, huenda kuna propaganda wanataka kueneza hapa nchini, au wanataka kuuleta huu ugonjwa hapa nchini, then baadae tutaenda kuwaomba msaada wa fedha za kupambana nao, hapo na wao ndio watakuja na terms zao kwamba ili watusaidie lazima na sisi tuwape rasilimali zetu. Nadhani wanalenga zaidi RASILIMALI zetu.

Kwanini huu ugonjwa hauwapati wazungu?
Kwanini Africa tu.

Hoja nyingine ni hii,
•Huenda ugonjwa upo kweli, ila serikali inaficha.
Kumbuka Marekani na Uingereza ni moja ya nchi zenye intelligence ya hali ya juu sana, so wakati mwingine wanapotoa tahadhari kama hizi huwa hawakurupuki, inawezekana ikawa huu ugonjwa upo mamlaka zetu zinapuuzia au zinajua ila zinaficha ukweli.

Ni vyema kama upo tujue, ili sisi raia tuanze kuchukua tahadhari mapema.
Mwandishi gani unaogopa kusimamia upande mmoja?
 
Bado natafakari lakini mm napenda kwenda na nadharia ya kwanza though. Usiniulize "evidensi". Tupiamo na kapicha basi
 
Tupe mlolongo wa interaction ya huyo doctor mpaka unasema alikufa kwa Ebola. Na je ni watu wangapi ambao aliwaambukiza hiyo huo ugonjwa? Unajua maambukizi ya Ebola mpaka mgonjwa kuonesha dalili za ugonjwa ni muda gani?
Wewe bint nikufahamishe huyo dr aliekufa Kwa ebola ni binamu yangu kabisa na hatukuruhusiwa kuweka matanga na dada zake wametoka juzi
 
Ebola ni issue za wacongo kula nyama za nyani ( baboons) ndio zinazoleta EBOV
Sasa wacongo wameanza kula hizo nyama since history .. swali lingeweza kuwa kwanini sasa...

Wazungu hawana mpango na rasilimali zako tayari wanazichukua kwenye Internet bundles....
BTW. .. najiuliza kwanini hatutibu primary source tunapambana watu wasi safir pekee
 
Ebola ni issue za wacongo kula nyama za nyani ( baboons) ndio zinazoleta EBOV
Sasa wacongo wameanza kula hizo nyama since history .. swali lingeweza kuwa kwanini sasa...

Wazungu hawana mpango na rasilimali zako tayari wanazichukua kwenye Internet bundles....
BTW. .. najiuliza kwanini hatutibu primary source tunapambana watu wasi safir pekee

Hahaha!internent bando haitoshi mkuu,magonjwa mengi ya Africa yamewekwa na wazuñgu!
 
Umenikumbusha Ile tahadhari iliyotolewa na ofisi ya Ubalozi juu ya shambulizi la kigaidi katika baadhi ya mitaa ya Jiji la Dar.

Kimsingi wameona mpango wa kukamata mbawa za kilimanjaro umekwama. Kilichobaki ni kukataza wananchi wao wasije kwetu.

MUNGU ibariki TZ
 
Sasa ndugu Mtanzania, wewe una mtoto wa kike alafu unaanza kumsemea vibaya kwa vijana unadhani ataolewa? 👇
Fedha wanazoingiza hao watu wote 118 huwezi kuwalinganisha na beberu wawili tu wanaokuja kupanda mlima kisha wanalala zao Moshi then wanasepa zao singita grunet(wanalalala room ya $3000 per night/per room)
 
Watufanyie propaganda ili iweje? What are they going to gain from one of the poorest country like ours?
 
Back
Top Bottom