Uingereza yatangaza masharti zaidi kudhibiti maambukizi ya COVID-19

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Waziri Mkuu, Boris Johnson leo ametangaza masharti zaidi ili kudhibiti maambukizi ya COVID19. Amesema anatarajia masharti hayo yatakuwepo kwa muda wa miezi 6

Amewataka wanaoweza kufanya kazi kutoka nyumbani kufanya hivyo na wale watakaoshindwa waendelee kwenda kazini kama kawaida. Pia, baa na migahawa itafungwa saa nne usiku kuanzia Alhamisi

Kuanzia Jumatatu ijayo, watu 15 wataruhusiwa wenye sherehe na 30 kwenye misiba na Serikali haitaruhusu mashabiki wa michezo viwanjani ifikapo Oktoba 01

Hadi sasa Uingereza imerekodi visa 398,625 na vifo 41, 778

=====

British Prime Minister Boris Johnson Tuesday officially announced tighter measures to slow the spread of coronavirus in the country.

Johnson said he expected the restrictions to be in place for six months. They apply in England, he said, adding that the governments of Scotland, Wales and Northern Ireland would adopt similar measures.

Here's a look at some of the new restrictions:
  • Working from home: “We are once again asking office workers who can work from home to do so. Where that is not possible people should continue to attend their workplaces, he said.
  • Closing time: From Thursday all pubs, bars and restaurants must have table service only, except takeaways, with a 10 p.m. ET closing time.
  • Masks: “We will extend the requirement to wear face coverings to shop staff, users of taxis, and guests at indoor hospitality except when eating," he said. The penalty for failing to wear a mask when required doubles to £200 for a first offense.
  • Rules for gatherings: Saying it was time to “tighten up the rule of six,” from Monday there will be a maximum of 15 people allowed at wedding receptions, but still allow 30 at funerals.
  • Sports: The government will not allow fans at sports grounds starting on Oct. 1 as had been planned
CNN
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom