Uingereza wafukua makaburi kuhusu vifo 96 mpirani Hillsborugh

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,857
13,140
20170628_150340.jpg


Uzembe wa Polisi uliofanywa miaka 28 iliyopita, na uliosababisha vifo vya wapenzi 96 wa mpira, leo umeamuliwa wahusika kushitakiwa.

Na kigogo wa Polisi Chief Superintendet David Duckenfield(mstaafu) na wengine watano wanashitakiwa kwa kuua bila kukusudia (manslaughter).

MY TAKE
Makaburi yamefukuliwa hata huko majuu ili haki itendeke.
 
View attachment 531984

Uzembe wa Polisi uliofanywa miaka 28 iliyopita, na uliosababisha vifo vya wapenzi 96 wa mpira, leo umeamuliwa wahusika kushitakiwa.

Na kigogo wa Polisi Chief Superintendet David Duckenfield(mstaafu) na wengine watano wanashitakiwa kwa kuua bila kukusudia (manslaughter).

MY TAKE
Makaburi yamefukuliwa hata huko majuu ili haki itendeke.
Tunachojifunza ninile kitu inaitwa perseverence ya justice system.
Karibia miaka 30 kupita na uchunguzi ulikuwa unaendelea.
Hili ni somo, kuwa mafaili ya uchunguzi yasifukiwe na kusahaulik.

Pili, watuhumiwa ni vigoho wa polisi.
Bado najiuliza kama hili lingewezekana huku kwetu.
 
Back
Top Bottom