masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,857
- 13,140
Uzembe wa Polisi uliofanywa miaka 28 iliyopita, na uliosababisha vifo vya wapenzi 96 wa mpira, leo umeamuliwa wahusika kushitakiwa.
Na kigogo wa Polisi Chief Superintendet David Duckenfield(mstaafu) na wengine watano wanashitakiwa kwa kuua bila kukusudia (manslaughter).
MY TAKE
Makaburi yamefukuliwa hata huko majuu ili haki itendeke.