Uingereza: Waandamanaji waitupa majini sanamu ya aliyekuwa mfanyabiashara wa watumwa

babu M

JF-Expert Member
Mar 4, 2010
5,221
3,167

Video ikionyesha waandamaji wakiangusha sanamu ambayo imedumu toka karne ya 18.

1591555019856.jpeg

Sanamu ya Edward Colston katika sehemu ambayo inajulika The centre, Bristol.


1591555320454.jpeg

Wakiwa wanaitupa Bristol harbour.


1591554814123.jpeg

Sanamu ya aliyekuwa mfanyabisha maarufu ya utumwa katika karne ya 17 imeangushwa na kutupwa harbour na waandamaji wa Black Lives Matter.

Sanamu hiyo ilijengwa katika mji wa Bristol, United Kingdom katika karne 18. Lakini imekuwa ikileta malalamiko mengi. Watu wakitaka iondolewe kwa sababu inaonekana ni kama kumpa heshima mtu aliyejipatia utajiri kwa kuwauza waafrika na wengi wao kuwasababishia mauti!
 
Waandamanaji wa nchini Uingereza wanaopinga ubaguzi wa rangi baada ya kutokea kifo cha George Floyd, wameivunja sanamu ya aliyekuwa mfanyabiashara ya watumwa iliyoko mjini Bristol

Sanamu iliyotupwa majini ni ya Edward Colston ilikuwepo tangu mwaka 1895. Watu walipitisha chagizo la kuiondoa sanamu hiyo kwa kuwa ilikuwa inabeba historia mbaya, hivyo katika maandamano hayo wanaandamanaji waliitupa sanamu hiyo majini

Maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi yameendelea kwenye maeneo mbalimbali ikiwemo London, Rome, Madrid, Warsaw, Sydney na Hongkong waandamanaji wakiwa na ujumbe ya kuwa ‘Black lives matter’

Katika maeneo mengi waandamanaji wameonekana kutojali uwepo wa #CoronaVirus kwa kuwa hawaachiani ile mita moja inayoshauriwa kati ya mtu na mtu. Pia ni wachache kati yao ambao huvaa barakoa
1591587409334.png

====

In London, thousands congregated outside the US Embassy on Sunday despite British ministers saying that public protests ran the risk of increasing the spread of Covid-19.
Chants of "No Justice, No Peace" and "Black Lives Matter" bounced off the building in the Vauxhall region of the city, with a jubilant atmosphere for much of the day.
"Together, we will let our voices be heard. Enough is Enough. Black people cannot keep suffering," one protester addressed the crowd.

At times, the activists chanted "The UK is not innocent." Others had messages for the US President, with one sign reading: "Black lives trump your ego, Mr. President."

The previous day, activists had descended onto Parliament Square in the center of the city. Protests were peaceful for several hours, but turned heated in the evening when police and crowds faced off outside Downing Street.

In one incident, video posted online showed a police horse suddenly bolting, causing its officer to crash into a street light and fall to the ground. The loose horse then caused panic as it ran through groups of protesters, before making its way back to police stables.

"I stand with you. George Floyd's brutal killing must lead to immediate and lasting change everywhere," London Mayor Sadiq Khan said in a Sunday message to protesters, while condemning the minority who turned violent and reminding activists to try to limit physical interactions.

A number of Boris Johnson's government ministers had previously urged protesters to avoid gathering at all for public health reasons, with Home Secretary Priti Patel saying on Saturday: "I would say to those that want to protest, please don't."

Similar protests took place in Edinburgh, Scotland -- and a dramatic scene unfolded in Bristol, southwest England, where activists tore down a statue of 17th century slave owner Edward Colston.

The monument had stood in the city center since 1895 but had become increasingly controversial, with petitions created to demand its removal. On Sunday it was ripped down with ropes to loud cheers from a crowd of demonstrators.

Source: CNN
 
Wazungu wako makini sana. Wanapinga unyanyasaji wa mtu mweusi kuliko hata waafrika wenyewe! Mungu awabariki sana hawa jamaa.


Wanajisafisha ili tutambue kuwa sio wazungu wote wanaounga mkono aina yoyote ya unyanyasaji, ubaguzi, utumwa nk, dhidi ya Waafrika hivyo ni wao hasa ndio wanatakiwa wawe mstari wa mbele kuonyesha hilo ikizingatiwa kwamba mambo hayo yalitekelezwa na Babu zao na hata leo bado ubaguzi upo dhidi ya Waafrika.

Hivi sasa kuna mambo mengi yanayotia shaka yanayofanywa au yaliyofanywa na baadhi ya wazungu, mfano "The Gate vaccination programs"-- imekuwa ni kashfa na aibu sio kwa B. Gate pekee hata kwa Wazungu kwa ujumla.

Hao waandamanaji wa kizungu hawataki isemwe; " mtoto wa nyoka ni nyoka".

Mzungu ni mnyama aliyekosa mkia, lakini wapo wengine ni binadamu hasa.
 
Wanajisafisha ili tutambue kuwa sio wazungu wote wanaounga mkono aina yoyote ya unyanyasaji, ubaguzi, utumwa nk, dhidi ya Waafrika hivyo ni wao hasa ndio wanatakiwa wawe mstari wa mbele kuonyesha hilo ikizingatiwa kwamba mambo hayo yalitekelezwa na Babu zao na hata leo bado ubaguzi upo dhidi ya Waafrika.

Hivi sasa kuna mambo mengi yanayotia shaka yanayofanywa au yaliyofanywa na baadhi ya wazungu, mfano "The Gate vaccination programs"-- imekuwa ni kashfa na aibu sio kwa B. Gate pekee hata kwa Wazungu kwa ujumla.

Hao waandamanaji wa kizungu hawataki isemwe; " mtoto wa nyoka ni nyoka".

Mzungu ni mnyama aliyekosa mkia, lakini wapo wengine ni binadamu hasa.
... mbona sioni waarabu nao wakiandamana ili kujikosha? Maana wao ndio hasa walikuwa wanafuata "bidhaa" shambani kuipeleka sokoni; wao hawaguswi na utumwa kwa kuzingatia maelezo yako hapo juu?
 
Wazungu wako makini sana. Wanapinga unyanyasaji wa mtu mweusi kuliko hata waafrika wenyewe! Mungu awabariki sana hawa jamaa.
Ni ngumu sana kuwaelewa hawa watu.

1. Wanakununua na kukuuza, wakiona biashara imekua ghali kuiendesha wanaanzisha kampeni ya kuipinga. Mpiga zumari kwenye kampeni husika anakua ni muathirika wa biashara ya utumwa.
GHAFLA MZUNGU ANAANZA KUSIFIWA KWA KUPINGA BIASHARA ALIYOKUA AKIIFANYA. Wanaomsifu ni miongoni wa WATUMWA.🎓

2. Anakuja nchini kwako kiharamia, anajichimbia na kuanza kukubagua ndani ya nchi yako! Badala ya kupambana kumtoa unaanza mapambano asikubague😁Akishathibitisha kuwa umeshapoteza kumbukumbu za uhalali wake kuwa nchini kwako anatengeneza magitaa, vinubi na matari kisha anazisha kamoeni ya kupinga UBAGUZI WA RANGI. Mwongoza kampeni anakuwa mzawa mwathirika wa uvamizi wa maharamia na kisha ubaguzi wa rangi.
Hatima ya kampeni ANASIFIWA MZUNGU MVAMIZI na anajipatiamo uhalali wa kumiliki na kutawala sawasawa na wazawa.

HUYO NDIO MUZUNGU.
 
... mbona sioni waarabu nao wakiandamana ili kujikosha? Maana wao ndio hasa walikuwa wanafuata "bidhaa" shambani kuipeleka sokoni; wao hawaguswi na utumwa kwa kuzingatia maelezo yako hapo juu?
Ikumbukwe kua hiyo bidhaa waliiuziwa na machifu😁
Hawakuinga wao front kuisaka.
Adui wa mwafrika ni mwafrika mwenzie.
 
Wazungu wako makini sana. Wanapinga unyanyasaji wa mtu mweusi kuliko hata waafrika wenyewe! Mungu awabariki sana hawa jamaa.
Elimu inasaidia mtu kuwa objective. Wapinzani wetu Tz kwa sababu ya kukosa elimu wengi wao ni subjective ktk kupinga vitu. Unakuta mpinzani anamchukia mtu kwa sababu ya kabila lake (ingawa mpaka sasa wameshindwa vibaya mno).
 
... mbona sioni waarabu nao wakiandamana ili kujikosha? Maana wao ndio hasa walikuwa wanafuata "bidhaa" shambani kuipeleka sokoni; wao hawaguswi na utumwa kwa kuzingatia maelezo yako hapo juu?


Wahenga wanasema; "mshikwa na ngozi ndiye mla nyama"

"Ngozi" ya utumwa, ubaguzi, unyanyasaji nk, ipo Caribbean, Marekani, Ulaya (Uingereza, Ufaransa nk ). Wengi wanaofanyiwa hayo madhila ni "lineage" ya Utumwa, katika Uarabuni hiyo lineage ya Utumwa haipo kabisa ni sawa na kusema " ushahidi umepotezwa" au jalada la kesi halionekani, Waafrika wengi waliopo Uarabuni ni wahamiaji na sio zao la utumwa hata kama watanyanyaswa wataambiwa huko ulifuata nini??? au ataambiwa; si shida yako iliyokupekeka huko!!.

Katika nchi za Asia ni angalau India tu ndiyo kuna masalia ya Watumwa (Sidis) huko Karnataka waliotoka Kenya.
 
Ni ngumu sana kuwaelewa hawa watu.

1. Wanakununua na kukuuza, wakiona biashara imekua ghali kuiendesha wanaanzisha kampeni ya kuipinga. Mpiga zumari kwenye kampeni husika anakua ni muathirika wa biashara ya utumwa.
GHAFLA MZUNGU ANAANZA KUSIFIWA KWA KUPINGA BIASHARA ALIYOKUA AKIIFANYA. Wanaomsifu ni miongoni wa WATUMWA.🎓

2. Anakuja nchini kwako kiharamia, anajichimbia na kuanza kukubagua ndani ya nchi yako! Badala ya kupambana kumtoa unaanza mapambano asikubague😁Akishathibitisha kuwa umeshapoteza kumbukumbu za uhalali wake kuwa nchini kwako anatengeneza magitaa, vinubi na matari kisha anazisha kamoeni ya kupinga UBAGUZI WA RANGI. Mwongoza kampeni anakuwa mzawa mwathirika wa uvamizi wa maharamia na kisha ubaguzi wa rangi.
Hatima ya kampeni ANASIFIWA MZUNGU MVAMIZI na anajipatiamo uhalali wa kumiliki na kutawala sawasawa na wazawa.

HUYO NDIO MUZUNGU.


The white Dudes, 🤣
 
Ni ngumu sana kuwaelewa hawa watu.

1. Wanakununua na kukuuza, wakiona biashara imekua ghali kuiendesha wanaanzisha kampeni ya kuipinga. Mpiga zumari kwenye kampeni husika anakua ni muathirika wa biashara ya utumwa.
GHAFLA MZUNGU ANAANZA KUSIFIWA KWA KUPINGA BIASHARA ALIYOKUA AKIIFANYA. Wanaomsifu ni miongoni wa WATUMWA.🎓

2. Anakuja nchini kwako kiharamia, anajichimbia na kuanza kukubagua ndani ya nchi yako! Badala ya kupambana kumtoa unaanza mapambano asikubague😁Akishathibitisha kuwa umeshapoteza kumbukumbu za uhalali wake kuwa nchini kwako anatengeneza magitaa, vinubi na matari kisha anazisha kamoeni ya kupinga UBAGUZI WA RANGI. Mwongoza kampeni anakuwa mzawa mwathirika wa uvamizi wa maharamia na kisha ubaguzi wa rangi.
Hatima ya kampeni ANASIFIWA MZUNGU MVAMIZI na anajipatiamo uhalali wa kumiliki na kutawala sawasawa na wazawa.

HUYO NDIO MUZUNGU.

Uko makini sana kwa upande huu.
 
Wanajisafisha ili tutambue kuwa sio wazungu wote wanaounga mkono aina yoyote ya unyanyasaji, ubaguzi, utumwa nk, dhidi ya Waafrika hivyo ni wao hasa ndio wanatakiwa wawe mstari wa mbele kuonyesha hilo ikizingatiwa kwamba mambo hayo yalitekelezwa na Babu zao na hata leo bado ubaguzi upo dhidi ya Waafrika.

Hivi sasa kuna mambo mengi yanayotia shaka yanayofanywa au yaliyofanywa na baadhi ya wazungu, mfano "The Gate vaccination programs"-- imekuwa ni kashfa na aibu sio kwa B. Gate pekee hata kwa Wazungu kwa ujumla.

Hao waandamanaji wa kizungu hawataki isemwe; " mtoto wa nyoka ni nyoka".

Mzungu ni mnyama aliyekosa mkia, lakini wapo wengine ni binadamu hasa.
We una chuki zako tu na wazungu, unavyosema ni myama aliyekosa mkia, ukiona mzungu kaandika kitu hicho hicho kuhusu watu weusi unalalamika ila wewe unaandika the same thing unaona uko sawa. Wao ni kama watu wengine tu, wapo wabaya wapo wazuri, dunia nzima race zote ndivyo zilivyo. Hata afrika kuna watu racist kupitiliza wengi tu. Binadamu tuna matatizo sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom