Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,197
- 2,025
Wakuu habari zenu.Nadhani wengi wetu tumeona kwa jinsi Mtanzania mwenzetu alichofanyiwa na askari wa nchini Uingereza.Ni kitendo kisicho vumilika hasa kwa nchi inayodai kuwa Kuna freedom of speech/uhuru wa kujieleza.Hauwezi kumzuia mtu kutoa mawazo yake huo si uhuru wa habari.kwa kitendo hiki na sambamba na hiki tunapaswa kukemea serikali ya Uingereza kwa kuwanyima Wananchi uhuru wao mbona wanashindwa na nchi za ulimwengu wa tatu.
Nawasilisha kwenu kwa mawazo yenu
Nawasilisha kwenu kwa mawazo yenu