beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania, David Concar amesema kuanzia Novemba 01, 2021 Uingereza itatambua Vyeti vya Chanjo dhidi ya COVID-19 vilivyotolewa na Serikali ya Tanzania
Hatua hiyo itaruhusu waliopata Chanjo hapa Nchini kusafiri Uingereza bila kukaa Karantini au kulazimika kujitenga, ikiwa wamepata mojawapo ya Chanjo zinazotambulika katika Taifa hilo
Hatua hiyo itaruhusu waliopata Chanjo hapa Nchini kusafiri Uingereza bila kukaa Karantini au kulazimika kujitenga, ikiwa wamepata mojawapo ya Chanjo zinazotambulika katika Taifa hilo