Uingereza: Hofu ya Kudukuliwa yakwamisha kura ya kumpata mrithi Wa Boris Johnson

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,023
1,609
Upigaji kura kwa njia ya Mtandao katika Uchaguzi wa Viongozi wa Chama cha Conservative ili kumpata Mrithi wa Boris Johnson umecheleweshwa baada ya wataalamu wa Mtandao wa Serikali kuibua wasiwasi juu ya uwezekano wa udukuzi wa kura

Wataalamu hao wamedai kuwa Wadukuzi wanaweza Kubadilisha idadi kubwa ya Kura ikiwa zoezi la upigaji kura litaendelea kuchelewa

Hakukuwa na tishio maalum lililothibitishwa japokuwa Urusi imekuwa ikishutumiwa kwa kuingilia Mifumo ya kura za Nchi za Magharibi
---

Voting in Britain's Conservative party leadership election has been delayed after government cyber experts raised concerns over potential hacking of members' ballots.

The delay might benefit Rishi Sunak, who trails in polls of Tory members against Liz Truss in the race to succeed Prime Minister Boris Johnson, and is hoping to claw back ground in a campaigning blitz.

A letter from party headquarters to members, revealed by the Spectator magazine late Tuesday, said ballots due to go out this week would arrive by August 11 at the latest.

"This is because we have taken some time to add some additional security to our ballot process which has delayed us slightly," the letter said.

It said the party has ditched a hybrid system, in which members could vote first by post but later change their mind and vote online using a special security code.

Instead, only the first vote cast -- whether by mail or online -- will count. The deadline for voting remains September 2, with the result due to be announced three days later.

The Daily Telegraph said the party had acted on advice from the National Cyber Security Centre (NCSC), which it said feared the potential for hackers to alter a large number of votes online late in the race.

There was no specific threat identified from a hostile state, the newspaper said, although Russia in particular has been accused of meddling in Western votes including the US presidential election.

Source: Citizen Digital
 
Russia wanataka wampitishe Mhindi kwa kuhofia Iron lady Liz Truss akipita tuu lazima aendeleze kutoa kichapo na wapiganaji Ukraine.

Afadhari wamestukia mchezo.
 
Back
Top Bottom