Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,899
- 32,310
Wewe Nguruwe, huu uharo uliandika hapa unapoteza muda wako tu.HILO HATA WHO HANALIJUA WEWE NYUMBU UNAPINGA UNATOKEA WAPI MPAKA TUKUSIKILIZE.
Wewe Nguruwe, huu uharo uliandika hapa unapoteza muda wako tu.HILO HATA WHO HANALIJUA WEWE NYUMBU UNAPINGA UNATOKEA WAPI MPAKA TUKUSIKILIZE.
Huko walikochukua precautions, idadi ya vifo na wanaougua ni tofauti na huku mnakodai hatuchukui hizo precautions?Huko ni kuishiwa hoja mkuu, mimi hata sijakutusi.
Nasema hivi: "Mwenye akili hupima kina cha maji kwa fimbo na sio mguu".
Na kipimo cha akili ya mtu kujua ikoje ni matusi.
NImekuambia huko wanakofuata precaution walifanya hivyo wakati gani! Aidha angalia nchi ambazo walishituka mapema kama vile Vietnam na hata China yenyewe! So, issue sio precautions bali mlifanya precautions wakati gani! Lakini kwa upande mwingine, Tanzania hatuna legitimacy ya kusema "wao wanakufa na kuugua zaidi kuliko sisi" wakati hata wewe mwenyewe hapo nikikuuliza over the past 1 week Tanzania kuna cases ngapi, huwezi kutoa jibu!!!Huko wanakofuata hizo precautions, idadi ya vifo na wanaougua ni tofauti na huku ambako mnadai hatufuati hizo precautions?
Huko walikochukua precautions, idadi ya vifo na wanaougua ni tofauti na huku mnakodai hatuchukui hizo precautions?
Ndo unauliza sasa, huko walikochukua precautions, na hapa Tz mnapodai kwamba hatujachukua hizo precautions, kuna utofauti wa idadi wa vifo?NImekuambia huko wanakofuata precaution walifanya hivyo wakati gani! Aidha angalia nchi ambazo walishituka mapema kama vile Vietnam na hata China yenyewe! So, issue sio precautions bali mlifanya precautions wakati gani! Lakini kwa upande mwingine, Tanzania hatuna legitimacy ya kusema "wao wanakufa na kuugua zaidi kuliko sisi" wakati hata wewe mwenyewe hapo nikikuuliza over the past 1 week Tanzania kuna cases ngapi, huwezi kutoa jibu!!!
Na mimi ndio nauliza, huko walikochukua precautions na huku ambako mnadai tumepuuzia, kuna tofauti ya idadi ya vifo?Mkuu, shida ni hii:- kina cha maji, sikuzote unapotaka kuvuka mto, huwa hakipimwi kwa mguu, ni ama utumbukize fimbo au uchukue kitu kirefu na utumbukize, Magu alitumbukiza Mguu na bahati tu mguu ukatua kwenye floor, sasa huwezi sema kwamba amefaulu katika hili.
Hivi ni kipi usichoelewa?! NImekuambia huko unakosema wanachukua precautions na wenyewe walileta kiburi kile kile cha JPM, kiasi kwamba walipoanza kuchukua ilishakuwa too late! Swali unalotakiwa kujiuliza, ikiwa wanachukua precautions tu hali ipo vile, what kama wasingechukua?! Na nimeshasema Tanzania hatuna uhalali wa kujigamba kwa sababu hatujui hali halisi! Italia kwa mfano, yenye idadi ya watu karibu sawa na sisi, wanafanya testing kwa zaidi ya watu 50M. Tanzania tumepima wangapi hadi sasa? Ikiwa wakati tunapima tulikuwa hatujafikisha hata 3000 testings lakini bado kukawa na cases 560, ulishawahi kujiuliza hali ingekuwaje endapo tungepima angalau watu 5M tu?!Ndo unauliza sasa, huko walikochukua precautions, na hapa Tz mnapodai kwamba hatujachukua hizo precautions, kuna utofauti wa idadi wa vifo?
Acheni kushikwa akili,katika hili ngosha alikua sahihi na leo hii wanamuiga ila hawawezi kiri sababu tu ni mtu mweusi.Halafu nyie watu mna vituko ile mbaya!!! Ni kipi hicho wanachotaka kuwaiga UK?! Ni kwamba kabla ugonjwa haujaeleweka au hayo yalitokea baada ya kuona idadi ya wagonjwa ina-shoot from 52 to 509 within a week, na ili kuwajaza watu ujinga na kuficha ukweli wa ukubwa wa tatizo, ndipo akaanza kusema corona ni kagonjwa kadogo na kanaweza kutoweka kwa maombi!
Jibu swali nililouliza vinginevyo wewe ndo umeshikiwa akili na Ngosha! Hivi kwa akili yako UK waache kuiiga Sweden ambayo na yenyewe haikuweka lockdown halafu unaamini wanaiiga Tanzania? Nyie watu akili zenu sijui zipo vipi!!! Unajua kwavile mlilishwa ujinga na watawala, ndo mnadhani ni Tanzania peke yake ndiyo haikuweka lockdown!!! And FYI, duniani ukisikia watu wanapiga mfano kuhusu lockdown, wanaizungumzia Sweden na sio Tanzania ya Magufuli iliyojaza watu ujinga kwamba corona itatoka kwa maombi!Acheni kushikwa akili,katika hili ngosha alikua sahihi na leo hii wanamuiga ila hawawezi kiri sababu tu ni mtu mweusi.
Waendelee kujifungia tena ndani mwaka huu wote kama hujasikia wananchi wao kwa maelfu wameingia barabarani
Kwa nini wasiige Tanzania?au ww unawaona hao wao ni almasi sana kuliko Tz.Jibu swali nililouliza vinginevyo wewe ndo umeshikiwa akili na Ngosha! Hivi kwa akili yako UK waache kuiiga Sweden ambayo na yenyewe haikuweka lockdown halafu unaamini wanaiiga Tanzania? Nyie watu akili zenu sijui zipo vipi!!! Unajua kwavile mlilishwa ujinga na watawala, ndo mnadhani ni Tanzania peke yake ndiyo haikuweka lockdown!!! And FYI, duniani ukisikia watu wanapiga mfano kuhusu lockdown, wanaizungumzia Sweden na sio Tanzania ya Magufuli iliyojaza watu ujinga kwamba corona itatoka kwa maombi!
Ripoti ambayo imetoa last week ni hii-Kwa nini wasiige Tanzania?au ww unawaona hao wao ni almasi sana kuliko Tz.
Huu ukoloni wa kujiona nyie si bora utaisha lini?
Eeh ni kweli imetoka kwa Maombi,huko wanavaa barakoa tatu tatu na lockdown mwaka mzima lakini wanatuambia millions of people wamekufa.
Wanatushangaa sisi tunaendelea tu
Na mimi ndio nauliza, huko walikochukua precautions na huku ambako mnadai tumepuuzia, kuna tofauti ya idadi ya vifo?
........
........
Hivi unamuoneaje wivu marehemu? Yaani we mtu kafariki halafu umuonee wivu..
Labda nikuulize kivingine, kwa mujibu wa data za wasajili wa vizazi na vifo(RITA), idadi ya watu waliokufa kabla ya Corona kwa mwaka na idadi ya watu waliokufa baada ya corona kwa mwaka, ina utofauti?Hivi ni kipi usichoelewa?! NImekuambia huko unakosema wanachukua precautions na wenyewe walileta kiburi kile kile cha JPM, kiasi kwamba walipoanza kuchukua ilishakuwa too late! Swali unalotakiwa kujiuliza, ikiwa wanachukua precautions tu hali ipo vile, what kama wasingechukua?! Na nimeshasema Tanzania hatuna uhalali wa kujigamba kwa sababu hatujui hali halisi! Italia kwa mfano, yenye idadi ya watu karibu sawa na sisi, wanafanya testing kwa zaidi ya watu 50M. Tanzania tumepima wangapi hadi sasa? Ikiwa wakati tunapima tulikuwa hatujafikisha hata 3000 testings lakini bado kukawa na cases 560, ulishawahi kujiuliza hali ingekuwaje endapo tungepima angalau watu 5M tu?!
Nchi ZOTE zinazoonesha maambukizi makubwa na vifo vingi vinaweka takwimu in daily basis wakati Tanzanai takwimu za mwisho zilitoka mwaka mmoja uliopita!!! Sasa utajifananishaje na wao? Utafahamu vipi idadi ya vifo TZ wakati hatuweki records? Utafahamu vp maambukizo ya TZ kisha tukajilinganisha na wenzetu wakati hatufanyi testing?
Sasa kuna ugumu gani basi wa kumpa heshima zake kwa umahiri wake, marehemu JPM? Wivu wa nini sasa hadi uite bahati? Kwanini tu usikubali kwamba alitumia common sense na alikuwa na maono?Shida ni hii kwamba huwezi kupima kina cha maji kwa kutumia mguu.
Hii inafanana na historia moja ambapo askari wawili walipewa mtihani wa kuvuka eneo lililokuwa limepandwa mabomu (landmines), askari mmoja akaanza kuvuka tu kwa ujasiri na kwa bahati akavuka salama lakini yule mwingine akachukua metal detector instrument akaitanguliza kila mahali alipokuwa akikanyaga na akavuka salama japo alichelewa kuvuka kulinganisha na yule askari wa kwanza.
Tz tulikuwa kama yule askari wa kwanza na nchi zingine zilikuwa kama yule askari wa pili aliyetumia metal detector.
Yupi mwenye akili katika hao askari???.
Are you serious?! We unazo hizo data?! Ni vifo vingapi Tanzania vinakuwa recorded na hao RITA? Unazungumzia watu wanaotafuta death certificate kwa ajili ya urithi ndo iwe reference yako?! Anyway, mimi sina hizo data labda wewe ndo utuwekee hapa! Lakini hata ukiziona sidhani kama utaweza kufahamu ni vifo vingapi vimetokana na corona!! Hivi unajifanya umesahau kwamba serikali na taasisi zake imebadilisha hata hilo jina la corona na kuita changamoto ya kupumua, au?! Ni mara ngapi, kwa kutotaka tu kutumia neno corona/covid-19 serikali imekuwa ikisema "magonjwa ya kupumua ambayo yapo tangu zamani"?!Labda nikuulize kivingine, kwa mujibu wa data za wasajili wa vizazi na vifo(RITA), idadi ya watu waliokufa kabla ya Corona kwa mwaka na idadi ya watu waliokufa baada ya corona kwa mwaka, ina utofauti?
Basi nadhani, no research, no right to speak, kaa kimya, acha kutupigia kelele, research kwanza.Are you serious?! We unazo hizo data?! Ni vifo vingapi Tanzania vinakuwa recorded na hao RITA? Unazungumzia watu wanaotafuta death certificate kwa ajili ya urithi ndo iwe reference yako?! Anyway, mimi sina hizo data labda wewe ndo utuwekee hapa! Lakini hata ukiziona sidhani kama utaweza kufahamu ni vifo vingapi vimetokana na corona!! Hivi unajifanya umesahau kwamba serikali na taasisi zake imebadilisha hata hilo jina la corona na kuita changamoto ya kupumua, au?! Ni mara ngapi, kwa kutotaka tu kutumia neno corona/covid-19 serikali imekuwa ikisema "magonjwa ya kupumua ambayo yapo tangu zamani"?!
Sasa kuna ugumu gani basi wa kumpa heshima zake kwa umahiri wake, marehemu JPM? Wivu wa nini sasa hadi uite bahati? Kwanini tu usikubali kwamba alitumia common sense na alikuwa na maono?
Labda nikurahisishie hili swali, kwa mujibu wa Data za za wasajili wa vizazi na vifo (RITA), idadi ya watu waliokufa kabla na baada ya ujio wa Corona, ina utofauti? Ukishajua hili, nduo utafahamu kama alitumia common sense au ilikuwa bahati
We mwenzangu unajidanganya zaidi.hiv unaelewa uhalisia wa hizo chanjo zenyewe.unawajua hao wanaoendesha hiyo kampeni ya covax.Ndivyo unavyojidanga wewe siyo? Una ule ujinga wa kudhani ugali ndiyo chakula chenye nguvu. Unajua life span ya wazungu vs sisi? Wenzako karibu wanamaliza nchi nzima kuchanja.
Wakwanza wamchome kigwangwala leo ndo anashauri barakoa na chanjo jamaa mnafiki kinomaMama yetu tunaomba chanjo iletwe kwa wanaotaka. Wasiotaka kuchoma wakae kwa kutulia wasilazimishwe.