MWAKYONIKE
New Member
- May 26, 2014
- 4
- 0
Habari za leo ndugu wadau wa Jamii forum. Naomba kufahamu uimara wa gari aina ya Nissan X trail kwa matumizi ya kila siku mfano nchini Tanzania . Mfano kwa matumizi ya kila siku hapa Dar es salaam ukizingatia mie nakaa kilomita 45 kutoka katikati ya jiji na ninalazimika kutembea km 20 za barabara yavumbi. Kwa hiyo kila sikuninatembea km 90 na wakati mwingine ninalazimika kwenda mkoani Mbeya kijijini kwetu wilaya ya Rungwe. Naomba msaada kwa wale wenye uzoefu wa gari hii au wenye utaalam wa kiufundi kuhusu gari hii. Endapo hainifai vp kuhusu Toyota voltz?