Uhusiano wetu na nchi jirani, nini kimetokea kati yetu na Rais Kagame?

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,270
Kagame ndiye alikuwa rafiki wa karibu, baada ya kuapishwa Rais Magufuli nchi yake ya kwanza kuitembelea ilikuwa Rwanda na alifanyiwa dhifa ya kitaifa. Baada ya hapo Rais Kagame alikuwa mgeni wetu wa mara kwa mara.

Rais Magufuli aliwahi kutamka mbele ya Kagame kuwa yeye ndiye aliyemshauri manunuzi ya ndege.

Huyu mgeni wetu wa mara kwa mara ameshindwa kuja kulia na sisi msiba wa Mzee Mkapa. Ingawa alituma salamu lakini kwetu sisi Kagame alikuwa the next door neighbour hakuwa mtu wa kutuma salamu bila hata mwakilishi.
 
Sisi tutaamini tu kwamba, Corona imekuwa sababu ya hayo yoote, hata kama kweli pengine kuna konakona Kwa mahusiano yetu, Ila Kwa Kagame hawezi Fanya hivyo kamwe.
 
Kageme yupo busy na mapambano ya Covid-19 lakini ndege za Rwanda Air ndio zinasafirisha minofu ya samaki na abiria kutokea Mwanza kwenda Ulaya.

Kama haitoshi we share Rusumo hydropower plant under construction. Pia ni nchi iliyotia makubaliano ya kujenga kipande cha SGR kuunganisha na Tanzania.
 
Kagame ndiye alikuwa rafiki wa karibu, baada ya kuapishwa Rais Magufuli nchi yake ya kwanza kuitembelea ilikuwa Rwanda na alifanyiwa dhifa ya kitaifa. Baada ya hapo Rais Kagame alikuwa mgeni wetu wa mara kwa mara.

Rais Magufuli aliwahi kutamka mbele ya Kagame kuwa yeye ndiye aliyemshauri manunuzi ya ndege.

Huyu mgeni wetu wa mara kwa mara ameshindwa kuja kulia na sisi msiba wa Mzee Mkapa. Ingawa alituma salamu lakini kwetu sisi Kagame alikuwa the next door neighbour hakuwa mtu wa kutuma salamu bila hata mwakilishi.
Mkuu, nasikia wamezikana hela..pk kamzidi ujanja meko.
 
Back
Top Bottom