Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

Asante sana nimewafikia. Nilianza kuisoma Jana, nilikuwa naiona tu hii story ila naipotezea nikawa najiuliza mbona uzi unasogea hivi lazima itakuwa nzuri mpaka nikauliza. Aisee una memory nzuri na akili ya kufafanua jambo. Kwa umri ulioutaja si ni age ya le mutuz . Namuona bado. Juu ya ujana ulioupitia ila ulikuwa na heshima zako. Ila ulipenda kubadili dini ghafla inataka moyo
 
Sijaanza kuandika bado.

Endeleeni kujadili, kuuliza maswali, etc.

Nikipata wasaa nitaandika na kuweka.

Waalikeni na vijana wengine wasome simulizi hii, yapo ya kujifunza na kujikumbusha.

James Jason
Mkuu naomba nikuulize swali la kizushi.. Kabla hujampata Mama yetu Hamida... inaonyesha ilikuwa kiwembe kweli kweli. Sasa swali langu ni hili. Enzi hizo tatizo kubwa lilikuwa Gono. Je uliwahi kulipata.. if yes what was experience.. if no hebu tueleze kidogo kwa watu wako wa karibu ambao walishapata huu ugonjwa.. mlikuwa mnamchukuliaje mtu aliepata Gono?
 
Mkuu naomba nikuulize swali la kizushi.. Kabla hujampata Mama yetu Hamida... inaonyesha ilikuwa kiwembe kweli kweli. Sasa swali langu ni hili. Enzi hizo tatizo kubwa lilikuwa Gono. Je uliwahi kulipata.. if yes what was experience.. if no hebu tueleze kidogo kwa watu wako wa karibu ambao walishapata huu ugonjwa.. mlikuwa mnamchukuliaje mtu aliepata Gono?
Bahati nzuri nimeishia kusoma kwenye machapisho tu. Wakati huo gono na kaswende + pangusa ndiyo yalikuwa magonjwa hatari sana. Lakini yalikuwa yanatibika vizuri ukiwahi.

Aliyepata ilikuwa kama ajali tu, wanawake wengi wao ndiyo walikuwa wanachelewa kujijuwa kama wameambukizwa, ila akitembea na mtu, huyo mtu akijua tu humwambia na wote hutibiwa.

Zilikuwepo pia dawa za kienyeji, na zilifanya kazi vizuri.

Mgonjwa wa magonjwa ya zinaa enzi hizo alisaidiwa na siyo kunyanyapaliwa, labda 'ajifiche' lakini hatimaye hujitokeza tu mbele ya wenzake.

James Jason
 
Bahati nzuri nimeishia kusoma kwenye machapisho tu. Wakati huo gono na kaswende + pangusa ndiyo yalikuwa magonjwa hatari sana. Lakini yalikuwa yanatibika vizuri ukiwahi.

Aliyepata ilikuwa kama ajali tu, wanawake wengi wao ndiyo walikuwa wanachelewa kujijuwa kama wameambukizwa, ila akitembea na mtu, huyo mtu akijua tu humwambia na wote hutibiwa.

Zilikuwepo pia dawa za kienyeji, na zilifanya kazi vizuri.

Mgonjwa wa magonjwa ya zinaa enzi hizo alisaidiwa na siyo kunyanyapaliwa, labda 'ajifiche' lakini hatimaye hujitokeza tu mbele ya wenzake.

James Jason
Leo kuna muendelezo au kachu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijaanza kuandika bado.

Endeleeni kujadili, kuuliza maswali, etc.

Nikipata wasaa nitaandika na kuweka.

Waalikeni na vijana wengine wasome simulizi hii, yapo ya kujifunza na kujikumbusha.

James Jason
Mzee wetu leo na jana kimya sana ?
 

Similar Discussions

36 Reactions
Reply
Back
Top Bottom