Mr.creative
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 492
- 117
Jamani wana jf! Kuna uhusiano wowote katika suala zima la kuoa na suala zima la hali ya muoaji ya kiuchumi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />Uhusiano upo mkubwa tu, ila si lazima u angalie uhusiano huo wakati wa kuoa
Jamani mbona mnapotoshana kwa makusudi hapa? ingekuwa hivyo basi msukums torori asingeowa, hapa lazima tukubali binadamu duniani hatuko sawa, bali usawa upo kwa mungu, sasa hata unapotaka kuoa ni lazima ujijuwe wewe ni wa category gani, haiwezekani unataka kumuowa Miss Tanzania halafu unafanya kibaruwa kwa muhindi mshahara laki na nusu, hapa ni kujitafutia shida wewe mwenyewe.ni kichekesho kama mwanaume unataka kuoa halafu huna hela...i guarantee you hyo ndoa haitadumu...
<br />Jamani mbona mnapotoshana kwa makusudi hapa? ingekuwa hivyo basi msukums torori asingeowa, hapa lazima tukubali binadamu duniani hatuko sawa, bali usawa upo kwa mungu, sasa hata unapotaka kuoa ni lazima ujijuwe wewe ni wa category gani, haiwezekani unataka kumuowa Miss Tanzania halafu unafanya kibaruwa kwa muhindi mshahara laki na nusu, hapa ni kujitafutia shida wewe mwenyewe.<br />
Jana tulisema hapa wanawake waalimu ndio good match ya kuoa kama kauwezo kako ni kakubeep, maana waalimu wana upendo wa asili na wanavumilia sana mazingira magumu.<br />
Sasa wewe unamtaka Lizzy, bill inaanzia kwenye Blackberry subscriber per mounth 30,000= internet bundle ya laptop 2 GB per month, hapo bado saloon.
<br />Vizuri uwe una uwezo wa kujitegemea sio unaoa halafu unaenda kukaa kwenu.
Endelea kuidanganya nafsi yako,..................... wewe unaishi dunia ya kusadikika na sio hii tuliopo leo.<br />
<br />
huyo lizzy kama amekupenda kwa dhati na kukubali kufunga ndoa nawe ataforgive hizo bill za blackberry and 2GB...kuoa sio tu kuwa na uwezo wa kumhudumia mke...kukubaliana kuishi kwenye maisha ya ndoa ni mapenzi ya dhati baina ya watu wawili na mtaishi kwa kusaidiana,kupeana support kadri itakavyowezekana ...kama upo na mke kwa sababu tu unampa fedha za kutosha then bila shaka she loves ur fckn money and not you
Jamani mbona mnapotoshana kwa makusudi hapa? ingekuwa hivyo basi msukums torori asingeowa, hapa lazima tukubali binadamu duniani hatuko sawa, bali usawa upo kwa mungu, sasa hata unapotaka kuoa ni lazima ujijuwe wewe ni wa category gani, haiwezekani unataka kumuowa Miss Tanzania halafu unafanya kibaruwa kwa muhindi mshahara laki na nusu, hapa ni kujitafutia shida wewe mwenyewe.
Jana tulisema hapa wanawake waalimu ndio good match ya kuoa kama kauwezo kako ni kakubeep, maana waalimu wana upendo wa asili na wanavumilia sana mazingira magumu.
Sasa wewe unamtaka Lizzy, bill inaanzia kwenye Blackberry subscriber per mounth 30,000= internet bundle ya laptop 2 GB per month, hapo bado saloon.
huyo lizzy kama amekupenda kwa dhati na kukubali kufunga ndoa nawe ataforgive hizo bill za blackberry and 2GB...kuoa sio tu kuwa na uwezo wa kumhudumia mke...kukubaliana kuishi kwenye maisha ya ndoa ni mapenzi ya dhati baina ya watu wawili na mtaishi kwa kusaidiana,kupeana support kadri itakavyowezekana ...kama upo na mke kwa sababu tu unampa fedha za kutosha then bila shaka she loves ur fckn money and not you