Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Mwenyekiti.......Luteni Kanali Jakaya Kikwete
Katibu Mkuu......Luteni Yusuph Makamba
Katibu Itikadi.....Capteni George Mkuchika
Wapo 1. Brigedia Gen. Hassan Ngwilizi
2.Kanali Abdulrahman Kinana
3. Kanali Anatori Tarimo
4. Kanali Simbakalia
5. Kanali Enos Mfuru
6. Kapteni James Yamungu
7. Luteni KANALI Issa Machibya
8
9
and so on.....
Hivi Karibuni nilisikia kua Mzee Mhita ambaye ni former IGP akikanusha kutaka kugombea Ubunge kwa tiketi ya CCM (Hakukana uanachama ila amekana kugombea Ubunge)
Tibaigana naye nasikia anataka ubunge huko kwao Kagera.
List ni ndefu...Ninachojiuliza mimi ni hiki...
Majeshi yetu ni Mashina ya Wakereketwa wa CCM?
Na kama hali ni hiyo, hatuoni kuwa sio rahisi kwa jeshi letu kukubali ushindi wa chama kikingine (kwenye nafasi ya Urais ikitokea) mbali na CCM?
Kama ni hivyo, hatuoni kuwa sisi tunaotaka mageuzi tunapoteza muda kujaza threads wakati piga ua upinzani hautashika nchi?
Demokrasia ipo wapi?
I stand to be corrected endapo nitakuwa nimepotoka....
Katibu Mkuu......Luteni Yusuph Makamba
Katibu Itikadi.....Capteni George Mkuchika
Wapo 1. Brigedia Gen. Hassan Ngwilizi
2.Kanali Abdulrahman Kinana
3. Kanali Anatori Tarimo
4. Kanali Simbakalia
5. Kanali Enos Mfuru
6. Kapteni James Yamungu
7. Luteni KANALI Issa Machibya
8
9
and so on.....
Hivi Karibuni nilisikia kua Mzee Mhita ambaye ni former IGP akikanusha kutaka kugombea Ubunge kwa tiketi ya CCM (Hakukana uanachama ila amekana kugombea Ubunge)
Tibaigana naye nasikia anataka ubunge huko kwao Kagera.
List ni ndefu...Ninachojiuliza mimi ni hiki...
Majeshi yetu ni Mashina ya Wakereketwa wa CCM?
Na kama hali ni hiyo, hatuoni kuwa sio rahisi kwa jeshi letu kukubali ushindi wa chama kikingine (kwenye nafasi ya Urais ikitokea) mbali na CCM?
Kama ni hivyo, hatuoni kuwa sisi tunaotaka mageuzi tunapoteza muda kujaza threads wakati piga ua upinzani hautashika nchi?
Demokrasia ipo wapi?
I stand to be corrected endapo nitakuwa nimepotoka....