Uhusiano kati ya Tanzania na Kenya kulikoni?

NUKUU (Tuna Rais wa ajabu haijawahi kutokea, narudia tena Tuna Rais wa ajabu haijawahi kutokea kwenye nchi hii. Tundu Lissu
Ni kweli haijawahi kutokea kupata rais Kama yy.serikali kuhamia Dom ilishindikana lakin yy ameweza,mradi wa umeme wa mwal jk hydropower uligoma lkn yy ameweza,na mengine mengi ...
 
acha uchonganiahi ww,tungekuwa hatuna mahusiano mazuri Basi hata Yale madini yaliyoyakamata,wange piga kimya,na tusingejua chochote.ktk east Africa Kenya ndo nchi ya kwanza kuenzi mahusiano mazuri na Tanzania.
Ustaarabu wa Uhuru tuu. Viongozi waliolelewa Ikulu waastarabu -Uhuru,Karume ,Hussein.
 
Habari wakuu,

Kwa kweli mafahali wanapopigana nyasi huumia.

Ni ukweli usiojificha Tanzania na Kenya Hatuna uhusiano mzuri wa kidiplomasia na unazidi kutetereka.

Athari zake tunazipata Sisi wananchi haswa Wakulima wa mpunga na mahindi.

Wakuu, tujue kila magunia matatu ya mpunga au mahindi mawili yalikua yanaenda Kenya.

Kwa sasa Wakenya wananunua Mahindi kule Mexico na mchele Vietnam sasa, nani anaumia?

Matunda yanaozea shambani kuanzia mananasi, maembe, matunda damu nk

Baada ya Tanzania kuharibu uhusiano na wafanyabiashara wenye asili ya India mpaka mazao kama:

Korosho
Mbaazi
Dengu
Ufuta, n.k

Kukosa bei kabisa sasa ni zamu yetu walima mahindi na mpunga. Leo hii mazao sio tu ni bei rahisi Bali pia hata mnunuzi hakuna.

Je, Jakaya alitabiri kweli kwa kusema uhusiano wetu na Kenya hautatetereka labda tupate kiongozi mjinga. Mpumbavu tena wa ajabu?
Akasema watu wa aina hio ni wachache, je ni wachache au ni mmoja tu?

Naandika kwa uchungu sana maana roho inaniuma.

Huyu naye ni nabii kama Hayati Mwl J. K. Nyerere
 
Hali mbaya huku kwetu debe mahindi elfutano mchele ishirini na nne kwa debe cha ajabu mbolea iko vilevile haipandi wala kushuka
 
Kama mahindi toka Mexico na mchele toka vietnam ni nafuu kuliko wa Tanzania, ni kwanini wanunue Tanzania? Halafu nikwambie tu, hiyo video uliyoweka inadhalilisha kiti kikuu..., hiyo ni kejeli ya waziwazi kwa aliye madarakani, itoe.
 
Tuambie kwanza nani alianza kuchoma na kuwateketeza vifaranga mpakani pale Namanga??
Nani aliyekamata na kutaifisha mifugo ya majirani zake??
Hao vifaranga walichomwa kinyume na sheria za nchi au sheria ndivyo ilivyotaka? Hao ng’ombe walikamatwa bila kuvunja sheria za nchi? Tubadili sheria kama ndio hivyo ili iruhusu mifugo kuingizwa kiholela bila ukaguzi wa aina yeyote ile.
 
acha uchonganiahi ww,tungekuwa hatuna mahusiano mazuri Basi hata Yale madini yaliyoyakamata,wange piga kimya,na tusingejua chochote.ktk east Africa Kenya ndo nchi ya kwanza kuenzi mahusiano mazuri na Tanzania.
Usiangalie madini tazama kwa ujumla NCH inavyo enda kwenye wenye kipato Cha chini
 
Wakulima ndio wanaoumia kabisa Kwa kuwazuia kuuza mazao ya nje ya nchi hii ni maumivu ya wakulima wa mahindi, mpunga n.k.
Mkuu mahindi na mpunga afadhali kuliko matunda na nyanya zinaozea shambani
 
acha uchonganiahi ww,tungekuwa hatuna mahusiano mazuri Basi hata Yale madini yaliyoyakamata,wange piga kimya,na tusingejua chochote.ktk east Africa Kenya ndo nchi ya kwanza kuenzi mahusiano mazuri na Tanzania.
Mkuu sio uchonganishi....
Sisi Wakulima tunaona hali halisi
Wewe upo mjini Huna dhilla ulijualo kwetu
Matunda na nyanya kuozea shambani sio masikhara wala ajizi
 
Habari wakuu,

Kwa kweli mafahali wanapopigana nyasi huumia.

Ni ukweli usiojificha Tanzania na Kenya Hatuna uhusiano mzuri wa kidiplomasia na unazidi kutetereka.

Athari zake tunazipata Sisi wananchi haswa Wakulima wa mpunga na mahindi.

Wakuu, tujue kila magunia matatu ya mpunga au mahindi mawili yalikua yanaenda Kenya.

Kwa sasa Wakenya wananunua Mahindi kule Mexico na mchele Vietnam sasa, nani anaumia?

Matunda yanaozea shambani kuanzia mananasi, maembe, matunda damu nk

Baada ya Tanzania kuharibu uhusiano na wafanyabiashara wenye asili ya India mpaka mazao kama:

Korosho
Mbaazi
Dengu
Ufuta, n.k

Kukosa bei kabisa sasa ni zamu yetu walima mahindi na mpunga. Leo hii mazao sio tu ni bei rahisi Bali pia hata mnunuzi hakuna.

Je, Jakaya alitabiri kweli kwa kusema uhusiano wetu na Kenya hautatetereka labda tupate kiongozi mjinga. Mpumbavu tena wa ajabu?
Akasema watu wa aina hio ni wachache, je ni wachache au ni mmoja tu?

Naandika kwa uchungu sana maana roho inaniuma.

Kwa hiyo wazee wa kazi mmeshapata kiongozi mjinga na mpumbavu ?
 
Ni kweli haijawahi kutokea kupata rais Kama yy.serikali kuhamia Dom ilishindikana lakin yy ameweza,mradi wa umeme wa mwal jk hydropower uligoma lkn yy ameweza,na mengine mengi ...
Sisi kama Wakulima tunampongeza sana japo kua angebaki Dar es salaam na mazao yetu yangekua yanauzika kwetu ingekua poa tu
Sasa yupo Dodoma na mazao yetu yanatudodea Hivi utamwambia mkulima atakuelewa?
Eti kuna bwawa la umeme wakati Mananasi yanaozea shambani
Eti Kanunua ndege wakati asali haina mnunuzi
Hivi kuhamia Dodoma Ndio nini?
 
Back
Top Bottom