chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,824
Ni kweli haijawahi kutokea kupata rais Kama yy.serikali kuhamia Dom ilishindikana lakin yy ameweza,mradi wa umeme wa mwal jk hydropower uligoma lkn yy ameweza,na mengine mengi ...NUKUU (Tuna Rais wa ajabu haijawahi kutokea, narudia tena Tuna Rais wa ajabu haijawahi kutokea kwenye nchi hii. Tundu Lissu