POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,400
Mshauri a-tampe na katiba... aone kitachotokea. hawezi akawa anaongea na Vilaza wa CCM kwa kutumia TV station zote bongo, anaongea bla bla tu.. its shame to you and RIZ et alUhuru wa uhuru wa maoni unatokana na katiba lakini Rais dikteta anaweza ku-tamper na katiba na kuwaondolea watu uhuru wao, ndicho alichokuwa anamaanisha JK. Alikuwa na pointi katika hilo na wala hujamkosoa chochote hapo. Kwani wewe MMM unataka kusema nchi zenye madikteta hazina katiba nzuri? Usitake kukosoa kitu kisichokosolewa hapo ila badala yake mwambie Mbowe ajibu kwanini alimsifia JK bungeni halafu baadaye anaanza kumgeuka kuwa hana haki ya kuunda tume ya katiba.