Habari wapendwa,
Ktk dunia yetu,kumekuwepo na ukuwaji na uwepesi wa upashanaji habari.
Natamani sana Mheshimiwa Rais aruhusu mijadala ktk kila eneo la mjadala.
Mijadala hii iendeshwe kwa kuheshimiana na kwa kuzingatia hoja.
Kwa kuzingatia hayo,litakalosemwa ni vyema likawa la ukweli. Mijadala hii itatufundisha na hivyo kuongeza uelewa na ufanisi.
Rais asichoke kuwaelimisha watu wake kwa kuwa kubaki na mipango yake na kuitekeleza kwa kuelekeza mwenyewe, atatumia muda mwingi na tija itakuwa ndogo.
Nashauri pia kuwa kwa kuwa tutakuwa tunasema cha kweli hakuna haja ya kutumia aka ili kujuana na kukuza mahusiano na mawasiliano.
Iwapo nimekuudhi kwa wazo langu ninaomba unisamehe.
Tujadiliane bila ya kutumia lugha za maudhi.
Nimewasilisha.
Ktk dunia yetu,kumekuwepo na ukuwaji na uwepesi wa upashanaji habari.
Natamani sana Mheshimiwa Rais aruhusu mijadala ktk kila eneo la mjadala.
Mijadala hii iendeshwe kwa kuheshimiana na kwa kuzingatia hoja.
Kwa kuzingatia hayo,litakalosemwa ni vyema likawa la ukweli. Mijadala hii itatufundisha na hivyo kuongeza uelewa na ufanisi.
Rais asichoke kuwaelimisha watu wake kwa kuwa kubaki na mipango yake na kuitekeleza kwa kuelekeza mwenyewe, atatumia muda mwingi na tija itakuwa ndogo.
Nashauri pia kuwa kwa kuwa tutakuwa tunasema cha kweli hakuna haja ya kutumia aka ili kujuana na kukuza mahusiano na mawasiliano.
Iwapo nimekuudhi kwa wazo langu ninaomba unisamehe.
Tujadiliane bila ya kutumia lugha za maudhi.
Nimewasilisha.