Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,324
- 18,478
Suala lolote la kiimani ukilileta kisheria linakuwa kosa.Zumaridi anamakosa kisheria na kesi ipo mahakamani haina haja ya kumjadili.
Mfano wakatoliki jumamosi tunakusanyika majumbani Mwa watu zaidi ya watu 30 je tunahitaji kibali cha kukusanyika.
Ukienda vilingeni kwa waganga utakuta watu wa rika yote wakipata tiba je wanahitaji kibali au mganga nae apewe kesi ya usafirishaji haramu.
Kwa mtazamo wangu ishu ya zumarid ni bifu la police kama kumkomoa fulani hivi baada ya zumarid kuwagomea sababu police hawakufuata taratibu za ukamataji
Thus wamempiga kitu ambacho ni against human right,kwann wampige.
Alipelekewa wito kuripoti police akakataa?
Ishu ya human trafficking Hakuna ground pale labda uzitafute degree za kesi hio kwa torch.