Arusha Leo
Senior Member
- Mar 12, 2012
- 122
- 72
WAKATI dunia ikiadhimisha siku ya uhuru wa habari duiniani,kituo binafsi cha Radio Sunrise cha jijini Arusha kimemwagiwa sifa kwa kurusha matangazo ya moja kwamoja hususani matukio na mgeni rasmi katika maadhimisho hayo,mkuu wa mkoa wa Arusha Magesa Mulongo aliyewakilishwa na mkuu wa wilaya ya Arumeru bi Mecy Silla.
Aliyasema hayo wakati akifungua sherehe za maadhimisho hayo zilizofanyika katika hotel ya Golden Rose Jijini Arusha, ambapo waandishi wa habari na wadau wa habari walihudhulia na kutoa wito kwa vyombo vingine vya habari kuiga mfano huo.
Aliyasema hayo wakati akifungua sherehe za maadhimisho hayo zilizofanyika katika hotel ya Golden Rose Jijini Arusha, ambapo waandishi wa habari na wadau wa habari walihudhulia na kutoa wito kwa vyombo vingine vya habari kuiga mfano huo.