Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,814
- 18,808
Siasa za Kenya ni kama unaangalia series ya Game of Thrones in real life, zinasisimua na zipo very unpredictable
Huyu jamaa Uhuru Kenyatta nilikuwa naumuona kama yupo civil, level headed, japo sikutegemea atakuwa perfect, kumbe huyu jamaa nae hana tofauti na wnasiasa wanafiki, madikteta na short sighted wengine tulio nao hapa East Africa na Africa.
Nilianza kumshangaa baada ya kumsikia anataka eti uras wa Kenya utolewe kwa kufanya rotation ya kimakabila..! sasa jamaa hakuona hilo suala yeye alipokuwa akigombea Urais akimpokea kibaki ambapo wametokea kabila moja?
Ameanza kuliona baada ya kuona makumu wake wa Urais kama ana chance kubwa ya kuwa rais baada ya yeye kuondoka
Anyay, sasa uta rotate vip urais kwenye nchi yenye makabila sijui 42? si hiyo rottion itanza kuvurugika kabla hawajfikia hata kabila 6? ingekuwa nchi yenye makabila 2 au 3 pengine ingeingia akilini kidogo, japo uongozi hautakiwi kutolewa kwa kungalia kabila ila merit za mgombea.
Sasa kauli ya uhuru inazidi kugawa watu maana badala ya kujadili sera sasa wataanza kujadili na kupondeana makabila na kuzidisha chuki, cha ajabu Uhuru anajinasibu kuwa yeye na Raila wanajenga umoja wa nchi kupitia BBI huku yeye akitamka maneneo ya kuzidisha chuki za kikabila akiwa nyumbani kwake na kuitisha mikutano ya kikabila na kuhonga madiwani (MCA) mamilioni ya fedha ili wapitishe huo mswada badala ya ushawishi wa sera. Siasa za hovyo sana
Huyu jamaa Uhuru Kenyatta nilikuwa naumuona kama yupo civil, level headed, japo sikutegemea atakuwa perfect, kumbe huyu jamaa nae hana tofauti na wnasiasa wanafiki, madikteta na short sighted wengine tulio nao hapa East Africa na Africa.
Nilianza kumshangaa baada ya kumsikia anataka eti uras wa Kenya utolewe kwa kufanya rotation ya kimakabila..! sasa jamaa hakuona hilo suala yeye alipokuwa akigombea Urais akimpokea kibaki ambapo wametokea kabila moja?
Ameanza kuliona baada ya kuona makumu wake wa Urais kama ana chance kubwa ya kuwa rais baada ya yeye kuondoka
Anyay, sasa uta rotate vip urais kwenye nchi yenye makabila sijui 42? si hiyo rottion itanza kuvurugika kabla hawajfikia hata kabila 6? ingekuwa nchi yenye makabila 2 au 3 pengine ingeingia akilini kidogo, japo uongozi hautakiwi kutolewa kwa kungalia kabila ila merit za mgombea.
Sasa kauli ya uhuru inazidi kugawa watu maana badala ya kujadili sera sasa wataanza kujadili na kupondeana makabila na kuzidisha chuki, cha ajabu Uhuru anajinasibu kuwa yeye na Raila wanajenga umoja wa nchi kupitia BBI huku yeye akitamka maneneo ya kuzidisha chuki za kikabila akiwa nyumbani kwake na kuitisha mikutano ya kikabila na kuhonga madiwani (MCA) mamilioni ya fedha ili wapitishe huo mswada badala ya ushawishi wa sera. Siasa za hovyo sana