lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,466
- 9,028
wengi wetu hatuna experience ya kuona mtu wakati akikata roho lakini hata pale achinjwapo ng'ombe/kuku kabla ya kukata roho huwa na nguvu za ajabu. Hata yule mgonjwa aliyepooza siku nyingi wakati wa kukata roho huwezi kuamini 'nguvu' inatoka wapi.Hapo hakuna jipya.Unasifia kuwa limekuwa la kwanza kutaja, sasa limetaja nini hapo.Hiyo si ni list tu ya wabunge wote wanao unda kamati hiyo?Tunacho taka ni kuwataja wale tu waliokula rushwa kati ya hao hapo kwenye list.
Asante sana uhuru kwa miaka uliyokuwepo kabla ya hawa wengine wote