Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Hakuna asiuejua jinsi upinzani wa kisiasa wa Kenya ulivyo kuwa wa hatari hadi kupelekea watu maelfu kupoteza maisha yao kisa siasa.
Lkn leo hii Uhuru na Raila ni watu wanao shirikiana hadi kuwafanya watu waanze kuamini kuwa uwenda Uhuru anamuandalia Raila urais hapo 2021.
Hivi sisi hapa nyumbani tunakosea wapi kuendelea kuchukiana kiasi hiki?
Lkn leo hii Uhuru na Raila ni watu wanao shirikiana hadi kuwafanya watu waanze kuamini kuwa uwenda Uhuru anamuandalia Raila urais hapo 2021.
Hivi sisi hapa nyumbani tunakosea wapi kuendelea kuchukiana kiasi hiki?