WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Vigogo wa KENYA washtakiwa The Hague ICC.
Leo ndio leo katika historia, washukiwa hawa watatu watawasili saa nane mchana leo kusomewa tuhuma.na tarehe ya kusikiliza ushahidi wa kufungua kesi ( confirmation of charges).
bunge wa Gatundu ya Kusini,mwanaye wa kwanza Mzee Jomo Kenyatta ( R.I.P) rais wa kwanza wa Kenya) , Former IGP ambaye sasa ni Posts Master General, Major General Hussein Ally na Mkuu wa utumishi wa Umma na pia Katibu wa Baraza la Mwaziri, Balozi Francis Kireni Muthaura wamefikia Hotel ya Kur haus ( eneo la pwani ya The Hague - Uholanzi ) na watafika kujibu tuhuma mbele ya majaji watatu.
Uhuru Kenyatta anadaiwa ku sponsor mauaji katika ghasia za baada ya uhuru.Pamoja na kujitahidi sana kutaka jina lakini liondolewe, haikufua dafu! Je huku ICC atapona?Wenzake wanatuhumiwa kutoa ushirikiano kuwezesha majuaji na vitendo vingine kama ubakaji!
Hawa vigogo ni vigogo kweli maana licha ya nyadhifa hizo, wanashikilia pia nyadhifa nyingine nyeti: Kenyatta pia ni mwenyekiti wa kamati ya ushauri wa Usalama na pia ni mwenyekiti wa Bodi inayoshughulikia usalama wa mashahidi.Mwendesha Mashtaka wa ICC, Ocampo aliwahi kuhoji kama hawa wataendelea na hizi nyadhifa zao maana inaweza kuhujumu kesi hii ya kihistoria.
MAKUNDI YA KIJAMII nayo hayapo nyuma. Yapo yenye ku support kuwashataki ICC na pia wapo wanaopinga kushtakiwa hawa vigogo ndani ya The Hague.
Mwanasheria Mkuu wa Kenya, Amos Wako na wanasheria kutoka Uingereza wamewasilisha ombi mahakamani ku challenge admissibility ili kesi ikasikilizwe Kenya. Kutakuwa na Status Conference ambapo mawakili wa watuhumiwa watajua undani wa tuhuma na Ocampo atatoa maelezo hayo kiundani zaidi.Mawakili nao watajua ushahidi utakaotolewa ili wajiandae kuwatetea washtakiwa.
Leo ndio leo katika historia, washukiwa hawa watatu watawasili saa nane mchana leo kusomewa tuhuma.na tarehe ya kusikiliza ushahidi wa kufungua kesi ( confirmation of charges).
bunge wa Gatundu ya Kusini,mwanaye wa kwanza Mzee Jomo Kenyatta ( R.I.P) rais wa kwanza wa Kenya) , Former IGP ambaye sasa ni Posts Master General, Major General Hussein Ally na Mkuu wa utumishi wa Umma na pia Katibu wa Baraza la Mwaziri, Balozi Francis Kireni Muthaura wamefikia Hotel ya Kur haus ( eneo la pwani ya The Hague - Uholanzi ) na watafika kujibu tuhuma mbele ya majaji watatu.
Uhuru Kenyatta anadaiwa ku sponsor mauaji katika ghasia za baada ya uhuru.Pamoja na kujitahidi sana kutaka jina lakini liondolewe, haikufua dafu! Je huku ICC atapona?Wenzake wanatuhumiwa kutoa ushirikiano kuwezesha majuaji na vitendo vingine kama ubakaji!
Hawa vigogo ni vigogo kweli maana licha ya nyadhifa hizo, wanashikilia pia nyadhifa nyingine nyeti: Kenyatta pia ni mwenyekiti wa kamati ya ushauri wa Usalama na pia ni mwenyekiti wa Bodi inayoshughulikia usalama wa mashahidi.Mwendesha Mashtaka wa ICC, Ocampo aliwahi kuhoji kama hawa wataendelea na hizi nyadhifa zao maana inaweza kuhujumu kesi hii ya kihistoria.
MAKUNDI YA KIJAMII nayo hayapo nyuma. Yapo yenye ku support kuwashataki ICC na pia wapo wanaopinga kushtakiwa hawa vigogo ndani ya The Hague.
Mwanasheria Mkuu wa Kenya, Amos Wako na wanasheria kutoka Uingereza wamewasilisha ombi mahakamani ku challenge admissibility ili kesi ikasikilizwe Kenya. Kutakuwa na Status Conference ambapo mawakili wa watuhumiwa watajua undani wa tuhuma na Ocampo atatoa maelezo hayo kiundani zaidi.Mawakili nao watajua ushahidi utakaotolewa ili wajiandae kuwatetea washtakiwa.