Jorochere
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 994
- 669
Ndugu zangu bila kuzunguka ni kwamba mdahalo umeanza saa 11 Leo jioni.
Wagombea binafsi wa 3 wameshachuana ila wababe wa jubilee (UHURU ) na NASA (RAILA) walitakiwa kuanza saa 2 usiku huu.Cha kushangaza Raila ashafika muda mrefu ila UHURU Bado hajafika na haijulikani yuko wapi?
Je asipofika itakuwaje,,,,,?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wagombea binafsi wa 3 wameshachuana ila wababe wa jubilee (UHURU ) na NASA (RAILA) walitakiwa kuanza saa 2 usiku huu.Cha kushangaza Raila ashafika muda mrefu ila UHURU Bado hajafika na haijulikani yuko wapi?
Je asipofika itakuwaje,,,,,?
Sent using Jamii Forums mobile app