joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
MY TAKE: Kenya is a confused country, the only way remaining for Kenya is copy and paste the Magufuli way.
Corona imethibitisha ukweli nani kati ya Kenya na Tanzania mwenye kujitambua na mwenye maamuzi ya busara. Bila Tanzania Hakuna East Africa.
Hongereni Sana watanzania, tuendelee kutoa dira ya uongozi katika EA, nchi zote zinaiangalia Tanzania kama mfano katika kila tatizo linalotokea.