Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Huyu jamaa Raisi wa Kenya amenishangaza sana, kwamba kila foreigner ruksa kuwa na haki sawa na Mkenya, hivi anajua hata anachokiongea kweli?
Nafikiri anafikiri maisha ni Picknick, kwa kuwa yeye kazaliwa na kukuta kila kitu anafikiri kila mtu ni hivyo na aliyebakia nyuma ni kosa lake, Wakenya mnastahili Raisi bora zaidi ya huyu playboy, I mean huyu jamaa ni hawastahili, hajui kuna watu hata chai asubuhi ni shida, ...
Nafikiri anafikiri maisha ni Picknick, kwa kuwa yeye kazaliwa na kukuta kila kitu anafikiri kila mtu ni hivyo na aliyebakia nyuma ni kosa lake, Wakenya mnastahili Raisi bora zaidi ya huyu playboy, I mean huyu jamaa ni hawastahili, hajui kuna watu hata chai asubuhi ni shida, ...