Albaab
JF-Expert Member
- Jun 6, 2015
- 1,520
- 2,161
Alafu Kuna jamaa hapa anakasirika eti nimemuita muhindi. Hakuna kitu ametufanyia na hela zake huyu muizi, Ona MO anavyoipa pumzi Simba, kumbuka Manji alivyoilea Yanga lakini huyu m**** yeye hela zake ni CCM tu, dah walahi CCM wametuloga!Yote hiyo ni kwasababu ni CCM financier , halafu mdogo wake ni jangili sijui hata kesi ya wizi wa nyara za serikali iliishia wapi ? Poor Tanzania