kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Kwa mara ya kwanza nilimsikia kwenye semina za fursa za clouds. Anaitwa Dr. Derrick.
Kwa jinsi anavyoongea, ni kama kwamba ni kwa vile ana uwezo mkubwa wa kuona fursa na kuchukua hatua na kwa akili na maarifa aliyo nayo, ameweza kufika hapo.
Pia nilimsikia akisema zipo fursa za wadau walio tayari kutoa mitaji kufadhili miradi iliyobuniwa, lakini watu wenyewe, ndio hawapo wanaobuni miradi.
Napenda kujua mwekezaji huyu alianzaje hadi kufika hapo?
Najiuliza mimi mtoto wa mkulima nimalize kozi ya udaktari na kwa miaka isiyozidi sita naweza kuwa na mtaji wa kuanzisha Hospitali?
Kwa jinsi anavyoongea, ni kama kwamba ni kwa vile ana uwezo mkubwa wa kuona fursa na kuchukua hatua na kwa akili na maarifa aliyo nayo, ameweza kufika hapo.
Pia nilimsikia akisema zipo fursa za wadau walio tayari kutoa mitaji kufadhili miradi iliyobuniwa, lakini watu wenyewe, ndio hawapo wanaobuni miradi.
Napenda kujua mwekezaji huyu alianzaje hadi kufika hapo?
Najiuliza mimi mtoto wa mkulima nimalize kozi ya udaktari na kwa miaka isiyozidi sita naweza kuwa na mtaji wa kuanzisha Hospitali?