mtangazaji wa tbc1 kanichefua sana!eti mojawapo ya maendeleo ni treni ya ubungo-posta!jee ni km ngapi za mkoloni tumeua?
Amani na Utulivu: Tangu tupate uhuru, viongozi na waislam watz wamekuwa wahanga kwenye vyombo vya dola tofauti na waumini wa madhehebu mengine. hii imekiwa kinyume na wakoloni ambapo wakipambana na machifu na sio viongozi wa dini
ELIMU: shule zao nyingi zimetaifishwa na hata serekali ilipotaka kufanya makubaliano MOU waislam haikuwazingatia.
NECTA imekuwa kero kubwa kwa waislam
VYOMBO VYA HABARI: Hata hizo redio chache ziliziokuwepo zinapigwa vita kwa visingizio vya Uchochez
MAENDELEO. WAMEANZSHIWA BAKWATA ili kurudisha nyuma gurdumu la maendeleo
Amani na Utulivu: Tangu tupate uhuru, viongozi na waislam watz wamekuwa wahanga kwenye vyombo vya dola tofauti na waumini wa madhehebu mengine. hii imekiwa kinyume na wakoloni ambapo wakipambana na machifu na sio viongozi wa dini
ELIMU: shule zao nyingi zimetaifishwa na hata serekali ilipotaka kufanya makubaliano MOU waislam haikuwazingatia.
NECTA imekuwa kero kubwa kwa waislam
VYOMBO VYA HABARI: Hata hizo redio chache ziliziokuwepo zinapigwa vita kwa visingizio vya Uchochez
MAENDELEO. WAMEANZSHIWA BAKWATA ili kurudisha nyuma gurdumu la maendeleo
"THANK YOU SO VERY MUCH"By JK. Samahani mimi nimesoma shule ya kata hivi hii sentensi ni sahihii eenh?