Uhuni wa DAWASA, Maji hakuna lakini wanaleta bili kubwa kuliko wakati wowote ule

Msiache mabomba/koki wazi. Usiku wanafungulia upepo unasukuma units mbele wakati maji hakuna.
Hawafungulii upepo.

Kama maji yamekatika, bomba zinabaki na hewa tu. Maji yakianza kutoka, upepo uliojaa kwenye bomba unasukumwa na ulivyo na mguvu huzungusha mita haraka kuliko maji.

DAWASA wafunge mita zenye uwezo wa kutoa upepo kwanza kabla ya maji kuanza kutoka
 
Nimechoka mno baada ya DAWASA kunitaarifu bili ya maji.

Kwa muda wa mwezi sasa maji ni shida, Yanatok mara moja ndani ya siku tatu au nne, lakini cha ajabu sasa eti bili imekuja kubwa mara mbili kuliko kipindi maji yanatoka kila siku

Naomba nitume meseji ifuatayo kwa uongozi wa DAWASA

1. Kuna possibility kuwa vijana wenu hawazunguuki kukagua mita bali wanafanya makadirio tu

2.Kuna uwezekano mmeamua kuwatwika mzigo wa gharama wateja wenu wachache walio katika database yenu ili kufidia hasara mliyoipata kwa kutokuuza maji kipindi hiki. Ninasema kuwa huu mchezo kama mnaufanya acheni mara moja, utawapeleka pabaya

Haya mnayofanya ni uhuni mtupu, acheni kubambikia wateja bili zisizo na kichwa wala miguu.

Kipindi hiki cha uhaba wa maji, bili ilipaswa iwe ndogo, siyo kubwa kiasi hiki.

Tunajua kuwa Bei ya Lita 1000 ni takriban shilingi 1680, Sasa unapomchaji mtu shilingi 80000 kipindi hiki cha ukame maana yake katumia lita (80000/1000)x1680 =Lita 134,440

Hizo lita zote 134,440 mtu kazipata wapi na kazitumia saa ngapi kipindi hiki cha ukame?

Yaani kama mtu ana zile Simtank za lita 5000 maana yake eti katumia Tenki hizo 28 katika mwezi huu wa ukame!. ambayo ni wastani wa mtu kutumia Simtank moja la lita 5000 kula siku, Inawezekanaje hii?

Dawasa Acheni huu uhuni wa kubambikizia watu bili feki

Waziri wa maji aione hii!
DAWASA wanaleta uhuni mtupu
Wakija wale wasoma mita,anzia pale kusoma mita yako mpaka watakapokuja tena utajua cubic metres zako ulizotumia
 
Sisi wametuletea bill ya mwezi huu harafu wakasema tuna Deni la 54000 ajabu ni kwamba Hilo Deni haliko na katika kumbukumbu za bill hatujawahi kupata bill hiyo,
 
🐒🐒🐒
1hJ.jpg
 
Kuna haja ya raia kuhakiki namba zao za mita wenyewe ili wajue mwezi uliopita mita iliishia namba fulani na sasa imesoma namba fulani.

Kuna uhuni kwenye kukadiria matumizi, wanainflate bili hawa
Sidhani. Hata mimi nilikua na mtazamo kama huu na nilshabishana nao sana, lakini baadaye ikagundulika tatizo lipo kwangu. 9 times out of 10 ukiona bill ya maji imekuwa kubwa sana kuliko kawaida ujue kuna leakage kwenye mfumo wako wa maji. Wasoma meter wa DAWASA wapo honest sana hata on a one-to-one level ukifahamiana nao.
 
Nimechoka mno baada ya DAWASA kunitaarifu bili ya maji.

Kwa muda wa mwezi sasa maji ni shida, Yanatok mara moja ndani ya siku tatu au nne, lakini cha ajabu sasa eti bili imekuja kubwa mara mbili kuliko kipindi maji yanatoka kila siku

Naomba nitume meseji ifuatayo kwa uongozi wa DAWASA

1. Kuna possibility kuwa vijana wenu hawazunguuki kukagua mita bali wanafanya makadirio tu

2.Kuna uwezekano mmeamua kuwatwika mzigo wa gharama wateja wenu wachache walio katika database yenu ili kufidia hasara mliyoipata kwa kutokuuza maji kipindi hiki. Ninasema kuwa huu mchezo kama mnaufanya acheni mara moja, utawapeleka pabaya

Haya mnayofanya ni uhuni mtupu, acheni kubambikia wateja bili zisizo na kichwa wala miguu.

Kipindi hiki cha uhaba wa maji, bili ilipaswa iwe ndogo, siyo kubwa kiasi hiki.

Tunajua kuwa Bei ya Lita 1000 ni takriban shilingi 1680, Sasa unapomchaji mtu shilingi 80000 kipindi hiki cha ukame maana yake katumia lita (80000/1000)x1680 =Lita 134,440

Hizo lita zote 134,440 mtu kazipata wapi na kazitumia saa ngapi kipindi hiki cha ukame?

Yaani kama mtu ana zile Simtank za lita 5000 maana yake eti katumia Tenki hizo 28 katika mwezi huu wa ukame!. ambayo ni wastani wa mtu kutumia Simtank moja la lita 5000 kula siku, Inawezekanaje hii?

Dawasa Acheni huu uhuni wa kubambikizia watu bili feki

Waziri wa maji aione hii!
DAWASA wanaleta uhuni mtupu
Kusema DAWASA wanakudai 80,000 baada ya mgao bila kujua matumizi yako ya nyuma haisaidii lolote.

Angalau ungeweka ushahidi wa past bills zako za nyuma kwa miezi kadhaa hadi latest water bill tuone matumizi yako kwa mwezi kwa kipindi fulani.
 
Hawafungulii upepo.

Kama maji yamekatika, bomba zinabaki na hewa tu. Maji yakianza kutoka, upepo uliojaa kwenye bomba unasukumwa na ulivyo na mguvu huzungusha mita haraka kuliko maji.

DAWASA wafunge mita zenye uwezo wa kutoa upepo kwanza kabla ya maji kuanza kutoka
Was just a joke ndugu. Nafahamu hilo ila juzi walisema wanatoaga upepo kabla ya kuachia maji. Sasa sijui wanatoaje sasa.
 
Back
Top Bottom